Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ifike muda tukubaliane na hali man utd ni mbovu mno hapo bado hatuja cheza na arsenal wala city na Newcastle kiufupi big 6 yote
 
Kichapo kipo pale pale,salah anatesa watu kule kulia 😝😝😝😝😝


Bado chiesa
 
Huyu Casemiro kashachoka..
Tofauti ya Liverpool ni wachezaji wake wakipata mpira tayari wanajua nini cha kufanya. Man U wachezaji ni kama hawana akili ya mpira, wakipata mpira ndio wafikirie kwanza cha kufanya, ndio maana unaona hata mipira mingi inapigwa hivyo hovyo. Wachezaji wanapata mpira lakini hawajui wafanye nini. Liverpool wanastahili kuwa mbele.

Kinachofuata sasa baada ya kocha kupewa wachezaji wote hawa, atafukuzwa yeye. Sioni mabadiliko yoyote kwenye hii timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…