Kocha fala sana huyu. Zirkzee kaanza kufanya mazoezi wakati wakina Bruno, Garnacho, Pellistri, Bayindir wanarudi Carrington.
Yani hapo kisingizio chake ni match fitness. Leo ilitakiwa full mkoko De Ligt, Zirkzee ndani ila yeye anaona ni bora kuchezesha watu nje ya nafasi zao ilimradi basi tu. Sasa kweli Rashford ni wa kumuweka Garnacho nje!?