Watu wanatetea ugalimaana siyo kwa mikataba ile. De Gea kutoka €23m kwa mwaka mpaka €3m.
Hivi vijamaa vinakwepa kuuzwa ila msimu huu ndiyo mwisho, United wakubali hasara tu asiongezewe mtu mkataba.
Kama ni Boli zozo, Mwamba anatupambania sana.Huenda alikua Bongo zozoView attachment 3066775
Kaletewa watu aliowataka tunataka kuona kazi sio bla bla.Kati ya kocha ambaye ana wakati mgumu EPL nzima msimu huu ni huyu Ten hag, lots of pressure kuliko msimu uliopita.
Achilia mbali mpira wa kuvutia, msimu huu ndoo tunachukua mkuu.Vp lakini timu inaleta matumaini au ndio yaleyale
Kaletewa watu aliowataka tunataka kuona kazi sio bla bla.
Akumbuke INEOS msimu uliopita tetesi zilisema kidogo wamle kichwa akasaidiwa na kubeba F.A.
Europa.Smahani
.hivi tunacheza UEFA CPL??
Nisaidieni kwanini Evans asiondoke??
Point thnxKapewa mkataba wa mwaka mmoja, yule ni squad player pia mzoefu pale carington atawasaidia madogo DNA ya UTD na kumbuka tunajinamizi la majeruhi, so atasaidia
Timu inaleta matumaini makubwa sana. Na tunaomba UCL watupe MADRID tumalizane mao mapema sana.Vp lakini timu inaleta matumaini au ndio yaleyale
Wacha tumalizie usajir kwanza ndio tutajua uwezo wa kochaTimu inaleta matumaini makubwa sana. Na tunaomba UCL watupe MADRID tumalizane mao mapema sana.
Aaaaaaah!!!!Nimesahau, kumbe hatupo UCL