Chelsea ndio team pekee iliyoingia Europa League na kutoka bila kucheza match yoyote.Mkuu kwanza naomba ufute hio kauli ya kumaliza nafasi ya 8, ukishinda tu FA kama haupo kwenye top4 na sio miongoni mwa timu zilizoshuka daraja, basi automatically unahesabika umemaliza ligi kwenye nafasi ya 5, kama unabisha waulize chelsea msimu ujao kwenye mashindao ya ulaya watashiriki mashindano yapi?
Garnacho𝐊𝐨𝐛𝐛𝐢𝐞 𝐌𝐚𝐢𝐧𝐨𝐨 is the first player born in the 𝟐𝟏𝐬𝐭 𝐜𝐞𝐧𝐭𝐮𝐫𝐲 to score a goal in the 𝐅𝐀 𝐂𝐮𝐩 𝐟𝐢𝐧𝐚𝐥
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2999521
KwakweliTumesemwa sana, tumetukanwa sana,tumeshambuliwa sana lakini sababu ni kunyanyua kwapa asante angalau msimu unaisha na tabasamu. Asenyeto wapiiiii....mmmmmmmmmaaaaeeee
hawa madogo uongozi uhakikishe hawaendi mahali. Hii ndio future𝐓𝐡𝐞 𝐅𝐔𝐓𝐔𝐑𝐄 𝐢𝐬 𝐁𝐑𝐈𝐆𝐇𝐓
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2999512
Hilo kombe hatukuliunda sisi, UEFA wenyewe walilitengeneza na sisi tumelishinda. Kwa sasa limeingiza UEFA cup ambalo ndiyo nyie mnaenda kupambania kwa kudra za kushinda FA Cup, baada ya kumaliza nafasi ya 8 mkiwa nyuma ya mabingwa kwa pointi sijui hamsini na ngapi huko, huku sisi tukiingia UCL baada ya kupambania ubingwa na kuukosa kwa point 2 tu.halafu hilo kombe la kipuuzi lilofutwa la UEFA Cup Winners msilazimishe kuliita ni Europa League.
Hilo kombe management's ilikaa na kuona ni upuuzi unaodhalilisha taswira nzima ya soka la Ulaya, wakaamua kulifuta na kufuta historia yote ya hilo kombe.
Kwa nini nyinyi mashabiki wa Arsenyau peke yenu ndio mnang'ang'ania sana lionekane ndio michuano ya sasa hivi ya Europa? wakati timu kama Chelsea kashinda mara 2, Man Utd, Mancity, Everton wote wametwaa hilo kombe lakini huwakuti wakilizungumzia wala kujinasibisha nalo, ila nyinyi Arsenyau kila siku lazima mliongelee ili muonekane na nyinyi pia ni miongoni mwa timu iliyowahi kushinda kombe la Ulaya?
Mbona Mancity kabla ya kubeba Uefa msimu uliopita alikua anajihesabia kua hana kombe lolote la Ulaya ingawa alishawahi kushinda hilo kombe la UEFA Cup Winners msimu wa 1969/1970?
Acheni kuforce mambo ili muonekane tu na nyie mna kombe la ulaya, hata mashabiki wa Everton sijawahi wasikia wakilazimisha hivyo kama wanavyolazimisha ArsenyauView attachment 2999454
Hilo kombe hatukuliunda sisi, UEFA wenyewe walilitengeneza na sisi tumelishinda. Kwa sasa limeingiza UEFA cup ambalo ndiyo nyie mnaenda kupambania kwa kudra za kushinda FA Cup, baada ya kumaliza nafasi ya 8 mkiwa nyuma ya mabingwa kwa pointi sijui hamsini na ngapi huko, huku sisi tukiingia UCL baada ya kupambania ubingwa na kuukosa kwa point 2 tu.
Sawa gigy moneyHii miguu ya maino Ni kama ya Mzee WA miaka 60 ,ila dogo Anamiaka et 19 ..
Sawa najua Ni sababu ya kuvaa viatu Sana n mengine ....!Miguu ya kazi hiyo. Huo mguu tu unakupa picha kwa miaka 19 aliyonayo amefanya kazi kubwa kiasi gani kufika hapo alipo.
Mim mwenyewe najua ,wachezaji wengi hata Ronaldo kucha hazipo normal kutokana na kuvaa viatu muda wote +nginjanginjaa za uwanjan ..,.....Sawa gigy money
Mpira una Umaarufu Uingereza sababu ya "Passion" unaunganisha Wengi. Ni rahisi sana kukuta ligi za Ridhaa "National League" zina Mashabiki wengi Uwanjani kuliko Baadhi ya Ligi kubwa Nje ya EPL.Mim mwenyewe najua ,wachezaji wengi hata Ronaldo kucha hazipo normal kutokana na kuvaa viatu muda wote +nginjanginjaa za uwanjan ..,.....
Wana derseve pesa nyingi Sana Hawa watu ....
Mambo ya kucheza sijui club ,passion Ni utapeli