Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwel kabisa mnakaaje na beki kati zote za nje embu uzen saliba tuwape Lord MAGUIRE😀
Acha tu tupambane na hali yetu. Tuko na Saliba, acha tu tukomae nae hivyo hivyo tusiwaharibie bahati yenu ya kuwa na Maguire. Mkiona waingereza wamewazidi, tupeni hata Mainoo.
 
Ukiiangalia timu yetu jina la mchezaji mmoja mmoja kama shabiki unajua tuna timu mbovu. Bahati mbaya sana tumekaa na hawa wachezaji si chini ya misimu 3 hadi 5 lakini hawabadiliki kiuchezaji, hawafuati mbinu za walimu na hawana ubora katika maeneo yote uwanjani. Lakini ukipata taarifa ndio wachezaji tunaotegemea kuwaona tena msimu ujao kama backbone ya timu, unaanza kukata tamaa kabla hata ratiba ya mechi ya msimu ujao haijatoka.
 
Tungojee bwanyenye mpya atasemaje
 
Ni siku nyingine tena ndo tunaenda kumaliza msimu tumechapwa sana aise vijana wa Bwenyenye Sir Jim leo tuna jambo letu.

Kwa mara nyingine leo tunaenda kufanya maangamizi pale.
watapigwa Sana wale 🤏

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…