Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naendelea kusisitiza tafuteni kipa wa kueleweka
Mkuu, back line ina Casemiro kama no 5, jana kaweka record ya kuzungushwa mara 8 in a single game, ina evans anasogelea miaka 40, una Wan Bissaka hajui hata ku turn yeye ni ma kwanja tu, una Dalot leo mzuri kesho anakushangaza, mbele yao una Ericksen kanenepeana kama Mwijaku, unamlaumu Onana? Mpe Pep Onana na footwork yake uone mabalaa.

Kuna watu wa kulaumu kwanza kabla hujamfikia Onana.
 
inahuzunusha kidogo asee. ila hatuna la kuwasaidia nyumbu wenyewe wana mdomo balaa
nasemaje.......wapigwe tu
 
Goli la kwanza kipa serious anadaka ile ilikuwa poor positioning ya kipa

Goli la pili alitakiwa kum close down maleta yeye kabaki kwenye mstari. Hakuna kipa pale

Kuna msimu United walikuwa na defense mbovu lakini wakabebwa na De gea Onana ameshindwa ku step up tafuteni kipa wa kueleweka
 
sisi hatutafuti furaha bali furaha ndo inakuja yenyewe kwetu
kati aliyefungwa 4 bila na watoto, na aliyempiga mtoto huyohuyo goli za kutosha
nani mwenye huzuni hapo
sijui kama umenielewa kiongozi
Mkuu deep down mnajua ninachoongea.
 
Siku hizi mashabiki wa united tumekubali yaishe.
Ten Hag alitakiwa aseme mwenyewe kuwa anamwaga manyanga asisubiri kufukuzwa umbwa huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…