gabriel Heinze
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 499
- 661
Sasa Wenger Orphans mnaongea nini😂huu msimu mlichotupita nq mpira wenu mzuri ni sinia tuu na top four ..
Ninachoamini tunawazima rasmi kama Liverpool 😂😂😂kipala achukue la nne
Ntakutafuta Gabriel Heinze 🤠🤠...msidhani Chelsea...West Ham kina Burnley mwenzie Sheffield kilichowatokea ni bahati mbaya....mjiandae vizuri...hatutaki lawama siku hyoHushindi hyo game
Nipo hapahapa mkuu siku hyo sina hakika kama utamaliza mpira dakika 90Ntakutafuta Gabriel Heinze 🤠🤠...msidhani Chelsea...West Ham kina Burnley mwenzie Sheffield kilichowatokea ni bahati mbaya....mjiandae vizuri...hatutaki lawama siku hyo
Pale ukimchukua unakula za uso.Na tukienda hovyo tutapigwa mno
Chaguo sahihi litategemea na namna mwalimu anavyotaka kucheza.RW/RWF/RM, Miaka ya karibuni imekuwa nafasi Muhimu sana kwenye timu hasa zinazoshambulia na Wide Players na Inverted Wingers. Arsenal wamekuja pata Balance Pitia SAKA, City imekuwa na Mahrez, Bernado, Sasa wanamtumia FODEN, Liver wana Salah,
Nje ya Hizi timu TOP 3 kuna majina Mengi. Forgotten Al Watani Selikavu na M Z A N Z I B A R I Wote naona Mpo na Mashaka na OLISSE.
Chaguo sahihi kwa UTD huu Upande linaweza kuwa lipi ili Kupata Balance?
Kuna timu za kutusumbua ila sio hawaa Arsenane😀Hujakosea kamanda, zipo timu za kutufunga ila sio arsenane !!
Ngoja tuone Uongozi mpya utakuja na niniPale ukimchukua unakula za uso.
Halieleweki ni winga, striker au AM.
Ukijilipua hapa lazima ule za uso.
Nangojea uamuzi wa Greenwood nadhani kama akilud hiyo hela ielekezwe sehemu nyingineRW/RWF/RM, Miaka ya karibuni imekuwa nafasi Muhimu sana kwenye timu hasa zinazoshambulia na Wide Players na Inverted Wingers. Arsenal wamekuja pata Balance Pitia SAKA, City imekuwa na Mahrez, Bernado, Sasa wanamtumia FODEN, Liver wana Salah,
Nje ya Hizi timu TOP 3 kuna majina Mengi. Forgotten Al Watani Selikavu na M Z A N Z I B A R I Wote naona Mpo na Mashaka na OLISSE.
Chaguo sahihi kwa UTD huu Upande linaweza kuwa lipi ili Kupata Balance?
I secondedTunahitaji kuwa wakatili kwenye maamuzi, sina kumbukumbu sahihi ila nakumbuka madrid na bayern munich walisimama na wachezaji wao mpaka dakika ya mwisho ya mashitaka (kesi ya benzema na ribery waliposhitakiwa kwa ubakaji)
Inashangaza sana kuona klabu inajizonga kwenye ishu ya mason greenwood haliyakuwa mahakama yenyewe imeamua kutokuendelea na kesi yake.
Mason greenwood ndio chaguo sahihi na la uhakika, kupokea euro millioni 25 kwa greenwood then ulipe paundi millioni 50 kwa Oliseh.
Hayo ni matumizi mabaya ya akili.
Hili pambano umeshinda.Na baado
sisi hatutafuti furaha bali furaha ndo inakuja yenyewe kwetuYan mnatafutiza furaha kwa mbinde sana... Polen nyie endeleeni na kombe lenu la 3 phase na inverted midfielder
Yaani ligi nzima ila siyo sisi na Livakuku?Kuna timu za kutusumbua ila sio hawaa Arsenane😀
Una maanisha, ukichukua average game ya dk 100 (ma dk ya nyongeza ni mengi siku hizi) Saliba anapitwa mara moja kwa mechi 5? VVD anapitwa mara moja kwa mechi 15? Ni shida aisee.
Haturuhusu ujingaKuna timu za kutusumbua ila sio hawaa Arsenane😀