It is misappropriation of prayer resource to pray for UTD to get any result that involve point dropping from an opponent under concern (eg. this weak team of hens).
Ni suala la mda tu tutaamini wote kwamba kipara anatupotezea muda tu yeye pamoja na genge lake. Hata timu za second division hazichezi huu mpira nonsense.
Misimu miwili mizima hatuoni nini kipara anataka kufanya uwanjani, Kifupi hakuna mwanga wa nini jamaa anataka kucheza ni papatu papatu tu hivyo hivyo siku zinasonga.
Ni suala la mda tu tutaamini wote kwamba kipara anatupotezea muda tu yeye pamoja na genge lake. Hata timu za second division hazichezi huu mpira nonsense.
Taratibu mashabiki wataanza elewa ukweli mchungu kuwa hapa hakuna timu kocha management wala passionate ya mpira
ni ujanja ujanja plus biashara na historia ndicho kilichobaki
itachukua muda man utd kufika level za hao waliopo top 3
sasa hiv top 3
Liverpool
Arsenal
Mancity
wanauwakika wakuchukua 7/9 points from man utd
man city took 9
Liverpool takes 7
Arsenal is gonna demolish this embarrassing team
kuna kipigo kizito kinakuja labda huruma itendeke