D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
ETH ni mkubwa kuliko PepNaona Ten Hag anazidi kuzeeka yeye tu na wakati yeye ndio mdogo 😂
Ukitumia akili, utaona jinsi bila majeruhi tunakuwa vizuri na % za kushinda + possession zote zinakuwa juu.
Hiyo style of playing mbona baldman ETH anayo ni transition football.
angalia game na Barcelona last season, tulikuwa na uhakika wa kushinda
Kocha squad inamuangusha, na forward ya rashford mweny kukosa nafasi nying ni mbaya kwa mpira wa transition.
Klopp pia anatumia huu mfumo, lkn yeye alikuwa na Salah, mane lkn pia alitumia muda kujenga
Huu mfumo wa ETH ni mgumu na mzuri sana hasa ukistick vzr
Trust the process, sisi hatuna squad na kama kukosea kweny usajili ETH sio wa kwanza kukosea.
Mwaka wa kwanza akawaletea Anthony Masebene na mzee Casemiro mara Eriksen mara Babu Evans🤠🤠🤠...hapana...hyu ameshaonesha dalili mbaya...ni mpiga dili na Hana uchungu na fedha za klabu....ila nafuu kwetu wapinzani maana huwa ana maneno ya changamsha genge na majigambo kwlikwli wakati uwanjani hakuna anacho deliver"Transition football" aka "pira vizia" aka "pira janja janja".
Ni kweli kwamba mkifungwa sisi wapinzani tunayakuza matatizo yenu yaonekane makubwa mara ishirini kuliko uhalisia. Ila tunapenda sana mpigwe mpaka basi.
Injuries za akina nani zinawaharibia msimu?
Kuhusu kukosea kusajili naamini kila timu inapitia hilo maana huwezi jua wachezaji wengine watamudu vipi mazingira mapya. Alexis Sanchez alikuwa superstar kwetu lakini kwenu alikuwa flop. Arteta ameleta wachezaji wapya 26 kwetu toka aje. Kuna wengine hawapo tena Arsenal: kina Willian, Pablo Mari, Mat Ryan, Alex Runarsson, Trusty, Taveres, Lokonga, Marquinhos...iwe kwa kuuzwa au kwa mkopo.
Wanne kati ya hao 26 ni makipa, wawili kawaondoa tayari. Zaidi na nusu au robo tatu ni midfielders na mabeki, kuonyesha alikuwa na plan ya kuimarisha ulinzinzi na huku akiwa na plan ya "build-up from the back" hivyo mabeki na kipa "wawe vizuri na mpira mguuni" kuweza kuchomoka kwa timu zinazokabia juu.
Wachezaji aliowaleta karibia wote waliobaki mpaka sasa ni "first eleven quality" kwake. Inawezekana Ten Hag hajafika hapo ila huu ni mwaka wake wa pili. Arteta ametumia miaka minne, karibia mitano, kufika hapo alipo.
Tumpeni Ten Hag muda. Cha muhimu ni muendelee kuwa vibonde wetu 😃😄
Tumvumilie tu kwanza mkuu. Hata sisi Arteta alianza kwa kutuletea mabomu kama kina Willian, Runarson, Cedric. Akapatia kwa Odegaard, Partey.Mwaka
Mwaka wa kwanza akawaletea Anthony Masebene na mzee Casemiro mara Eriksen mara Babu Evans🤠🤠🤠...hapana...hyu ameshaonesha dalili mbaya...ni mpiga dili na Hana uchungu na fedha za klabu....ila nafuu kwetu wapinzani maana huwa ana maneno ya changamsha genge na majigambo kwlikwli wakati uwanjani hakuna anacho deliver
Injuries zetu ni key players kama martinez, shaw, varane, casemiro, mount, hojlund.Tumvumilie tu kwanza mkuu. Hata sisi Arteta alianza kwa kutuletea mabomu kama kina Willian, Runarson, Cedric. Akapatia kwa Odegaard, Partey.
Uzuri wa Arteta ni amejitahidi kuondoa wasiotusaidia. Aubameyang alikuwa top scorer wetu, mmoja kati ya strikers bora kabisa kwenye ligi ila alivyomuonyesha tu kuwa hana tena ule usongo, Arteta na kina Edu wakajitahidi kumtoa, na hapo tumetoka kumpa mkataba mpya na hata miezi 6 haijaisha nadhani.
Wachezaji wa Wenger Arteta aliojitahidi kubaki nao ni Elneny na Xhaka. Xhaka kwa sababu za kimpira zaidi ila Elneny naamini ni sababu za kibinadamu zaidi. Kina Maitland-Niles, Rob Holding amekaa nao muda ila mwishowe aliwaachia waende. Sasa ni kama asilimia kubwa ya wachezaji ni wake.
Huku wanasema pia Ten Hag ana kikosi kikubwa cha kurithi. Ni sawa maana kuna wachezaji wazuri lazima abaki nao kama Bruno na Rashford ila tuone baada ya miaka minne na huu uwekezaji wa Ratcliffe jamaa atakuwa ameifikisha wapi United.
Mm nikiangalia Liverpool na 90% ya wachezaji wake muhimu WAKO majeruhi na tunaona mpira unaopigwa ndo naamini hatuna kocha man uInjuries zetu ni key players kama martinez, shaw, varane, casemiro, mount, hojlund.
Bila wasiwasi kocha style of playing anayo.
Na hii style inataka rashford awe backup sio starter, garnacho awe backup na sio starter.
Yaani transition football ukiw na rashford, garnacho, kiungo ya wazee na beki mbovu ni ngumu kutoboa.
Akisajili huu mfumo mtauona na mtaogopa
Sijajua unazungumzia ARTETA kwenye lipi ila hapo nimezungumzia PEP Kumcopy Bielsa. Nimeshakuonyesha Juu hapo ARTETA akiwa na BACK 5 dhidi ya CITY.No Bielsa alikua na 3 3 3 1
Pep aliiga kama ilivyo akapasuka
Kamodify kua hivyo.
Hesabu hapo City alikua na mabeki wangapi uwanjani.
Nionyeshe wachezaji wa Arteta waliokaa kama hivyo.
View attachment 2925584
Nimekuelewa. Pia nimefanya kiutafiti changu mwenyewe kigogo ili kulinganisha usemacho na wengine wanasemaje (youtube 😃😃) na kuona mnafanana kimtazamo.Injuries zetu ni key players kama martinez, shaw, varane, casemiro, mount, hojlund.
Bila wasiwasi kocha style of playing anayo.
Na hii style inataka rashford awe backup sio starter, garnacho awe backup na sio starter.
Yaani transition football ukiw na rashford, garnacho, kiungo ya wazee na beki mbovu ni ngumu kutoboa.
Akisajili huu mfumo mtauona na mtaogopa
Elewa kituSijajua unazungumzia ARTETA kwenye lipi ila hapo nimezungumzia PEP Kumcopy Bielsa. Nimeshakuonyesha Juu hapo ARTETA akiwa na BACK 5 dhidi ya CITY.
3 3 3 1 Ya Bielsa unaizungumzia hajaitumia sana baada ya Msimu wa kwanza na Leeds {Tafuta TAKE US HOME: LEEDS} Yeye alikuwa ndo anataabika nayo akaanza tumia 4~1~4~1
View attachment 2927055
PEP Hakuna alichoongeza zaidi ya kutumia Wachezaji wenye Ubora kwenye 3~2~4~1. Hii ni Game ya Mwisho kabisa ya Msimu wanapanda 2020, PEP Mara ya kwanza anapanga timu namna hiyo ni Game na Chelsea Stamford Bridge 2023 na anamtumia B.Silva na Rodri na ndo anaenda nao Game ngumu zote mpaka anachukua Treble.
Fergie alimnunua Heinze kama CB akija yeye na kina Rooney na Pique, Bielsa alienda na Argentina Olimpiki na akawa anamtumia Heinze kama LCB, Mascherano anailinda Mabeki watatu wakishambuliwa anarudi yeye halafu anamwancha Fundi LUCHO katikati Shape inabadilika na kuwa 4~1~4~1, TEVEZ mbele anabaki mwenyewe, Mpaka wanakuwa Mabigwa wa GOLD!
HEINZE kuja kuanza UTD akawa ndo LB chaguo la kwanza, japokuwa tulikuwaga na Rio na Oshea kama Pacha na yeye alisajiliwa kama CB , Matumizi yake kwa Bielsa Olimpiki yakaongeza Faida namna ameenda tumika UTD, Shida alipokuja pata ACL kurudi UTD wamesajili Evra na Nemanja.
LEEDS Captain wao Pontus Jansson alihama waliposhindwa Panda ligi kuu akaenda Brentford {Hiyo Documentary TAKE US HOME kama Umeiona Poa kama Hujaiona we Mtu Boli Ukipata Muda ifurahie} Wanamchukua BEN WHITE na anakuja mfanya Bielsa kuboresha 3~2~4~1 ambao PEP anatamba nao leo. BIELSA huko kwao wanamwita El Loco "Mwendawazimu" Sio kwa Bahati Mbaya Yule ni zaidi ya "GENIUS" Kwa Hiyo kina PEP kumuiga Isikushtue.
Ni kitambo kidogo ila mimi nafikiri hivi:Hivi Khamisi kwa nini huwa unapenda Kuongopa!?
Arteta Yupi alikwenda "Toe to Toe" na Pep? Imemchukua Arteta Misimu 5 kupata Matokeo Mbele ya Pep katika EPL mechi takribani 8 kafungwa zote hana hata Suluhu.
Mechi Arteta anamfunga Pep hakuna hata Mchezaji Mmoja aliyeanza wakati anacheza Mechi ya kwanza na kufungwa 3-0 nje ya SAKA. ETH ana mapungufu ila Msimu wa kwanza tu alipata Matokeo kwa Hao "Giants" wawili wa Ligi kwa kipindi hiki.
View attachment 2924969
Mechi hii ni Msimu wa 3 wa Arteta anacheza na "BACK 5" Mechi nzima ana Shambulizi 1 na hana ON-TARGET hata Moja! Wewe na Castr mlishakataaga mwalimu wenu hajawahi tumia Mabeki 5, sasa hapa alitumia wangapi?
Hoja yako kwamba wewe Ulisema ETH sio Mwalimu, Itazame Ajax tangu ameiacha hali yake na imeshaweka walimu wangapi, Hawezi kuwa Daraja la PEP ama Klopp, ila kwa Muundo sahihi toka Juu anaweza badili kitu UTD {Mpaka sas UTD ina wachezaji wa Tangu Fergiee} Arteta ameshasajili wachezaji zaidi ya 25.
UTD ilipofika Matatizo ni mengi sana kuanzia Juu. De Zerbi, TT, Poch ulikuwa unawajaza sifa wote humu ila Mpira uwanjani unasema tofauti. Tuna shida ya Kufunga tangu OGS, Tizama GD hapo msimu umeisha bado ilikuwa ni 0!
Sasa mkuu hiyo unayoiita back 3 na wing back wawili kwenye kuzuia si ndiyo inageuka na kuwa mnazuia kwa mabeki watano (back 5)? Kitu ambacho anakiongelea El Tiger kwamba Arteta alikua anatumia back 5.Ni kitambo kidogo ila mimi nafikiri hivi:
Hiyo formation imekaa kama majina ya wote wanaofahamika kama defenders wamewekwa nyuma, midfielders kati na striker kawekwa mbele ionekane kama 5-4-1. Ila Kolasinac asingecheza hapo alikuwa kama Wingback zaidi na Smith-Rowe asingecheza hapo, alikuwa kama #10 zaidi kwetu.
Huenda ilikuwa back 4 ya Cedric, Chambers, Holding na Tierney au back 3 ya Chambers, Holding na Tierney, huku Cedric na Kolasinac wakiwa wingbacks maana Cedric alikuwaga kama wingback kwetu pia. Katikati angekaa Xhaka na Odegaard, wakisaidiwa na Cedric na Kolasinac , huku Smith-Rowe na Saka wakicheza mbele na Auba au nyuma yake kidogo.
Sasa mkuu hiyo unayoiita back 3 na wing back wawili kwenye kuzuia si ndiyo inageuka na kuwa mnazuia kwa mabeki watano (back 5)? Kitu ambacho anakiongelea El Tiger kwamba Arteta alikua anatumia back 5.
Au wewe ukisikia back 5 unaielewa vipi?