Manara: Diamond angechelewa ningemuoa Zuchu

Manara: Diamond angechelewa ningemuoa Zuchu

Haya poa kuwa makini, comment nyingine zinakwaza sana. Sio kila mtu JF anatafuta ndoa punguza dhihaka kwa usiowafahamu
Take it ease mkuu, mambo mengine unapotezea tu simple.
 
Moja ya vyama vyenye kazi nzito na ngumu ni hiki
 
Angekua anatoa laki5 kwa siku...

Bruh, laki 5 ya kibongo inakaribia $200, yaani hiyo pesa hata binti yangu siwezi kumpa every day ndio nimpe mtoto wa mwanaume mwenzangu? Unajua hakunaga wanaume ma simp kama wabongo mi nakwambia
 
Hivi huyu si mumfunge spidi gavana ya domo lake? Kwa kumpa kitu kizito mpaka aweweseke...
 
Back
Top Bottom