Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Simba timu tajiri isiyolipa wafanyakazi wake stahiki zao. Kama mtu anayejulikana na wengi, Manara hakuwahi kulipwa, vipi hao watendaji wa chini mfano wafanya usafiAliye kuwa msemaji wa Simba na sasa msemaji wa Yanga Haji S Manara amesema ataishitaki Klabu ya Simba kwa kumtumikisha bila mkatab...


...... Hilo ni tango mporipori