Manabii wanaokwenda na wakati

Manabii wanaokwenda na wakati

Wajinga ndiyo waliwao
nani mjinga mkuu???
wazungu wameyafunga makanisa kabisa,kama huamini nionyeshe sister wa kikatoliki wa kizungu kijana
mkuu nahisi ni kwasababu huelewi
ulaya makanisa yapo tena mengi tu na neno la Mungu linahubiriwa sana tu,...shida iliyopo ulaya ni kubwa zaidi kuliko afrika,...kuna manabii wauongo wengi na mambo ya ajabu sana ambapo shetani anavuruga sana watu ulaya........
ila makanisa yanayohubiri kweli ya MUNGU yapo na watu wameokoka......ila ulaya wamekamatwa sana na mambo ya kidunia,.vijana wengi hawaendi makanisani kma nchi zetu za afrika...hii ni kutokana na misingi ya demokrasia iliyojengwa ya kishetani ili kupitisha mambo mabaya kirahisi......huku kwetu watoto huwa tunawalazisha kwenda kanisani tangu mdogo hadi anakua anakulia ktk misingi ya njia za kumjua MUNGU,..kule kma mtoto hataki kwenda church umlazimishi.....na baadae mtoto anakua huku anapeenda vitu vyake binafsi bila kuingilia demokrasia ya mtoto husika....hii inaharibu watoto wengi mno maana imepelekea watoto wengi kupenda movies na misic wa kidunia....ambapo sasa shetani kawabana kwenye hiyo nyanja haswahaswa,......all days ni muvi na music hatimaye wanakuwa addicted na maisha ya wasanii,.....na maisha ya hao wasanii ni kuvuta bangi kwenye video zao na maisha ya starehe mwanzo mwsho......hayo mambo yameharibu sana watoto na hasa USA mambo ya anasa yanashika kasi kila kukicha hawana wanalowaza jema dhidi ya Mungu....na neno la Mungu limekuwa adimu sana nchi zao maana wanaohubiri dini ni fake preachers wengi zaidi kuliko wa ukweli.....maisha wanayoishi hao mapreachers ni sawa na wamataifa tu wasiomjua MUNGU.......hiyo ndo sababu ya nchi za ulaya kuwa mbali na MUNGU ila watumishi wa MUNGU wapo na neno linahubiliwa sana tu ila watu masikio magumu..........huku kwetu tupo tofauti na nchi zingine neno la MUNGU liko kila kona japo wanaotumiwa na ibilisi kuchanganya watu wapo pia ........ila neno linahubiliwa sana...........
na mnavyosema makanisa yatu ya walokole yamrkuwa kma uyoga na kutudhihaki sana na kejeli ni mambo ya kawaida sana.......na inakua hivyo ndo ujue kuwa ndo mwsho wa dunia unakuja/upo........
mathayo 24;14
tena habari njema ya ufalme itahubiliwa katika ulimwengu wote,kuwa ushuhuda kwa mataifa yote,hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.....
neno linahubiriwa dunia yote mkuu hata ukikejeli kuwa wajinga ndo waliwao,its ok
tunahakika na maisha ya duniani na mbinguni pia......
 
Namuangalia hapa Mzee wa Upako; Watu wanakwenda pale mbele kumtunza pesa, wakifika wanagonga mikono kisela ( kama majah people) , kisha wanampa hela; wakimaliza tena wanajifuta na mikono usoni...., Hii ni hatari sana
hiyo ya kumtunza muhubiri haipo.......
ni mambo wamejitungia wanadamu ili kujionyesha mbele za watu kuwa wanapesa.......
ni mambo machafu sana
 
Wewe ni Muongo.toka lini Prophet urbert Angel hatumii neno la MUNGU ? na nanii kakuambia life style yake inategemea sadaka ? unajua kwamba ni mfanyabiashara mkubwa ? the guy is stil young now niambie utakusanya sadaka shingapi ndani ya muda mfupi alioanza huduma kuweza kumnunulia mkewe lamboghini ? unatumia maandiko ghani kuwaita watumishi wa MUNGU ni wauongo ? Na je ni dhambi mtu tajiri kumtumikia MUNGU ? alafu kingine umedanganya hayupo christ embassy anahuduma yake spirit embassy
Forbes inamtambua kwa biashara zake na hakuna sehemu imegusia kanisa, mwambie Bwege huyo
 
Namshukuru Mungu, umeweka wazi kuwa wewe ni mfuasi wa Kristo. Maana yake ni kwamba , hata nikikueleza ukweli hautasadiki.

Ungekuwa mtumishi au rafiki kidogo wa Yesu, tungeweza kuelewana.

Hata ibilisi anaweza kuwa mfuasi wa Kristo pasipo kuitwa; I mean , kwa kujipeleka mwenyewe kundini.

Ushauri; Huwezi kutumia nguvu zako kuielewa Biblia. Amini nakwambia kweli, ukiielewa Biblia hautakuwa na haja ya kuibeba. Kuna tofauti kubwa kati ya neno na andiko. Ukisema andiko ni neno la Mungu maana yake ukweli haumo ndani yako.

Si kila jambo ni lazima kunukuu vifungu vya Biblia. Pia haina maana kunukuu vifungu usivyovielewa undani wake.
Wewe ndio zwazwa kweli, KRISTO ni mmoja tu. Kina yesu wako kibao huko Latin America.
 
Na sio biashara ya unabii
mkuu minimekuuliza huyo jamaa ni mfanya biashara????
sina maana unabii kuwa ndo biashara,....unabii ni kazi ya MUNGU mtu hupewa na MUNGU(imean karama),...nataka kumjua tu vizuri huyo jamaaa ni biashara zipi huwa anazifanya.........sipo hapa kumkejeli mtu mkuu istoshe mambo ya MUNGU Yanahitaji weledi ili mtu usijitengenezee laana..
 
mkuu minimekuuliza huyo jamaa ni mfanya biashara????
sina maana unabii kuwa ndo biashara,....unabii ni kazi ya MUNGU mtu hupewa na MUNGU(imean karama),...nataka kumjua tu vizuri huyo jamaaa ni biashara zipi huwa anazifanya.........sipo hapa kumkejeli mtu mkuu istoshe mambo ya MUNGU Yanahitaji weledi ili mtu usijitengenezee laana..
Sio tu biashara, ni msomi wa nguvu.
 
Kwa wadada, mabinti na wote ambao hawako kwenye ndoa, Kuna semina imeandaliwa pale ubungo plaza tar 9 jmosi inahusu maombezi ili mungu awape wenza. Nimemsikia Mchg Katunzi akiwaonya MSIENDE/MSIHUDHULIE kabisa kinachofanyika huko ni udhalilishaji wa kijinsia. Dada zetu shitukeni na manabii wa kuombewa upate mune mtaliwa mtadhalilishwa utu wenu, tulieni bna
Hizi ni fursa...
 
mkuu minimekuuliza huyo jamaa ni mfanya biashara????
sina maana unabii kuwa ndo biashara,....unabii ni kazi ya MUNGU mtu hupewa na MUNGU(imean karama),...nataka kumjua tu vizuri huyo jamaaa ni biashara zipi huwa anazifanya.........sipo hapa kumkejeli mtu mkuu istoshe mambo ya MUNGU Yanahitaji weledi ili mtu usijitengenezee laana..


Yeah ni mfanyabiashara mkubwa UK.anafanya biashara za real estate.na anatumia pesa zake kwa ajili ya kuhubiri injili matangazo yote anayorusha kupitia satelaite analipia mwenye kwa pesa binafsi
 
hivi watu wanajua maana ya nabii ni nini??????????
tatizo watu hawasomi neno la MUNGU,.

Ndugu, Kuna tofauti kubwa sana kati ya Neno la Mungu na Andiko La Mungu.

Tunasoma Maandiko ya Mungu , sio Maneno ya Mungu. Maneno ya Mungu hayasomwi bali yanapatikana kwa njia ya kutafakari ( kwa njia ya Roho Mtakatifu, katika Kristo Yesu)

Kumbuka, andiko linauwa, bali neno linajenga ( linatupa uzima)

Huwezi kupata neno la Mungu kutoka kwenye maandishi ya Mungu kama wewe sio mfuasi wake ( I mean, kama haujaitwa kujumuika katika njia ya msalaba through Repentance)

Tatizo hapa ni kwamba, watu wanasoma andiko la Mungu lakini hawalielewi kwasababu hawajaitwa na kufanywa kuwa wafuasi au kutokana na kuishi katika hali ya dhambi.

Kumbuka pia, Uelewa ni zawadi kutoka kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.
 
hivi watu wanajua maana ya nabii ni nini??????????
tatizo watu hawasomi neno la MUNGU,..jamani BWANA YESU aliyasema haya yote
tubaki ktk misingi kma kweli tunania ya kwenda mbinguni......
ukisoma
mathayo 24
ukisoma sura yote, YESU anazungumzia kuhusu habari za siku za mwisho.......
nahao manabii amewazungumzia ktk mstari wa 11.....anasema watatokea manabii wa uongo wengi na kudanganya wengi
mathayo 7;15
YESU anasema tena tujihadhali na manabii wa uongo
16;anasema lakini tutawatambua kwa matunda yao......tuliosimama ktk njia ya kumtafuta KRISTO YESU hatuyumbishwi na vinavyoibuliwa kila kukicha...kila kitu kinachoibuka now tumetahaDhalishwa ktk biblia....neno linasema kila kitu
na YESU Alisema alijua kuwa watu wagumu kuelewa na kudadisi na kuishi ktk misingi ya maandiko yake
mathayo 13;43b
akasema mwenye masikio na asikie kma hutaki basi...
now days watu wapo mbali na MUNGU watu wanaangalia personal life na vitu vya ulimwengu huu bila kujua kuwa vitu tutaviacha na roho zetu zitakapoitajika mbinguni sijui watu wataenda kujibu nini mbele za MUNGU..watu wanampenda Mungu kimazoea na kwa midomo tu
ila mioyoni mwao Mungu hajajaa ipasavyo.......
MATHAYO 15;8
Watu hawa huniheshimu kwa midomo ,ila mioyo yao iko mbali nami
Yesu alisema kuwa watu wanampenda midomoni ila vitendo hawamfati Kristo...Yesu aliulizwa tumeacha vitu vyetu tumekufata tutapata nini ,.YESU AKAJIBU mtapata UZima wa milele na dunia mara100,..
tubadilike ndugu zangu ulimwengu uko ukingoni,yaliyosemwa na YESU kuhusu siku za mwiso yote yanatimia,..ukisoma mathayo 24 sura yote utapata jibu nalozungumzia hapa,....paulo mtume alisema kuhusu hizi siku za mwsho na yote yametimia,.....tunasubiri nini kubadilika.........
nawahurumia wanaoangaikia vitu/mali za kupita na kuangaika angaika huku na kule eti kutafuta unabii wa maisha yao......

"vCTRMA, post: 15809518, member: 348463"]hivi watu wanajua maana ya nabii ni nini??????????
tatizo watu hawasomi neno la MUNGU,."


JIBU

Ndugu, Kuna tofauti kubwa sana kati ya Neno la Mungu na Andiko La Mungu.

Tunasoma Maandiko ya Mungu , sio Maneno ya Mungu. Maneno ya Mungu hayasomwi bali yanapatikana kwa njia ya kutafakari ( kwa njia ya Roho Mtakatifu, katika Kristo Yesu)

Kumbuka, andiko linauwa, bali neno linajenga ( linatupa uzima)

Huwezi kupata neno la Mungu kutoka kwenye maandishi ya Mungu kama wewe sio mfuasi wake ( I mean, kama haujaitwa kujumuika katika njia ya msalaba through Repentance)

Tatizo hapa ni kwamba, watu wanasoma andiko la Mungu lakini hawalielewi kwasababu hawajaitwa na kufanywa kuwa wafuasi au kutokana na kuishi katika hali ya dhambi.

Kumbuka pia, Uelewa ni zawadi kutoka kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.
 
hapo kwenye red hiyo semina anayozungumzia katunzi kuna nabii na mtume mmoja muhuni yupo uko kitunda gani sijui,.....
hiyo ya ubungo inayozunguimziwa radio wapo ipo ubungo ktk kanisa la lutherani,.....na imeandaliwa na wamama wa kanisa hilo kwa ajili ya vijana wote wanaume na wanawake mwalimu ataefundisha ni mitimingi wa EAGT,........hawa hawana shida shida ni yule nabii nae anatangaza tangazo lake radio wapo pia kuwa ni semina yake ni ya single ladies pekee boys wasiende.....yupo kitunda if am not mistaken
tutawatambua kwa matunda yao.......ndo kma haya
Ndugu, hapa kuna umuhimu sana wa kuielewa dhima nzima ya " Tutawatambua kwa matunda yao"

Watu wengi wanaweza kutumia kauli hiyo pasipo kuielewa undani wake.

Ukweli ni kwamba, ni vigumu sana kutambua matunda ya mti wa mema na mabaya pale mti huo unapokuwa umejibanza katika kutenda mambo mema tu. ( Divination/Counterfeit)

Hapa ni lazima uwe na roho Mtakatifu, na ni lazima uwe umechaguliwa tayari.

Huwezi kuwa mfuasi wa Yesu au Mtumishi wa Yesu ( Yohana 15:15) na ukaanza kuhukumu watu kuwa wana matunda mabaya. Ni dhambi mbele za Mungu.

Kumbuka, kufanya jambo lolote pasipo uhakika ni dhambi; Na pia kufanya kitu chochote pasipo Imani ni dhambi.

Binafsi nimeamua kuweka thread hii kwasababu hawa watu nawaelewa vizuri sana. Mara kadhaa nimekuwa nikipigana nao through dreams, ; wengine wameishia kuniblock kwenye accounts kama Twitter.

Nazielewa njia zao vizuri, na trick wanazotumia kuwahadaa watu.

Kumbuka , Love is the greatest of all; Kufanya miujiza hata ya kung'oa mawe na kama hauna Upendo... Is meaningless!

Watu wengi hawaelewi nini Maana ya Upendo wala milango yake. Kumbuka Upendo ni zawadi kutoka kwa Mungu kupitia Yesu Kristo
 
hapo kwenye red hiyo semina anayozungumzia katunzi kuna nabii na mtume mmoja muhuni yupo uko kitunda gani sijui,.....
hiyo ya ubungo inayozunguimziwa radio wapo ipo ubungo ktk kanisa la lutherani,.....na imeandaliwa na wamama wa kanisa hilo kwa ajili ya vijana wote wanaume na wanawake mwalimu ataefundisha ni mitimingi wa EAGT,........hawa hawana shida shida ni yule nabii nae anatangaza tangazo lake radio wapo pia kuwa ni semina yake ni ya single ladies pekee boys wasiende.....yupo kitunda if am not mistaken
tutawatambua kwa matunda yao.......ndo kma haya
Shida ipo
 
mathayo 15;10
mathayo 12;34-37
maneno yanatoka moyoni kabisa,....ni kweli ndugu kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo...
Moyo wa MTU ni kama Ndoo Maji.

Kabla haujakutana na Yesu, mara zote ndoo hiyo huwa inakuwa imejazwa maji machafu na shetani.

Unapokutana na Yesu kwa mara ya kwanza, ombi lake kubwa kwako ni kukutaka ukubali kwa dhati kabisa kuyamwaga kwanza hayo maji machafu na kuiosha ndoa vizuri ili iwe na utupu.

Baada ya hapo, yeye humimina maji yake masafi ndani ya ndoo yako.

Maana yake ni kwamba, MTU yeyote mwenye ndoo ya maji machafu , ukiyakoroga maji yake... Lazima uchafu uliotuama utaibuka juu + harufu Kali.

Na Yule mwenye ndoo ya maji masafi, ukiyakoroga, matamshi yake ni kama asali au maji yatokayo kwenye chemchem nzuri.

Hiyo ndio maana halisi ya mstari huo. Au According to Aristotle's 48 Laws anasema " If you want to catch the fish, steer the waters "

Hii ni formula nzuri sana kumkamata muovu au MTU wa Mungu.
 
ukaanza kuhukumu watu kuwa wana matunda mabaya.
nahisi hukuelewa dhima yangu
ni kuwawweka watu aware wawe wanazingatia neno la Mungu,......maana kuhumu tumezuiwa kwa namna yoyote ile,...
tusije tukahukumiwa sisi,...
matunda ya Yaliyo ktk misingi ya MUNGU ni dhahili na ya ibilisi ni dhahili thats why YESU akasema mtawatambua kwa matunda yao,...tukiwa ndani ya YESU pekee ndo tunaweza kuwatambua wenye matunda YA MUNGU na ya ibilisi......
Ukweli ni kwamba, ni vigumu sana kutambua matunda ya mti wa mema na mabaya pale mti huo unapokuwa umejibanza katika kutenda mambo mema tu. ( Divination/Counterfeit)

Hapa ni lazima uwe na roho Mtakatifu, na ni lazima uwe umechaguliwa tayari.
kwenye red hapo,....kuutambua huo mti ni lazima uwe kwenye njia ya wokovu uwe na ukaribu na Mungu,...roho mtakatifu ndiye kiongozi kwa kila jambo unaposema mtu akijibanza sijui ningumu kumtambua unamaanisha kuwa roho mtakatifu unapinga uwepo wake.......
katika blue unazunguzia kuchaguliwa kivipi????????
minajua hadi unaokoka unakuwa tayari umepata neema,..maana paul anasema ktk waefeso tumeokolewa kwa neema
yaani tumechaguliwa tumeokoka kwa neema na sikwa akili zetu.........
 
mkuu hiyo ya kumtunza muhubiri haipo.......
ni mambo wamejitungia wanadamu ili kujionyesha mbele za watu kuwa wanapesa.......
ni mambo machafu sana mkuu,
Watu wengi hawaelewi maana ya Sadaka. Watu wengi wanapendelea kupanda Hisia, na wanavuna Hisia.
Wengi hawaelewi namna ya kupanda Uhalisia. Mungu hupendezwa na MTU anayepanda Uhalisia, sio Hisia.

Kumbuka, shetani ni mfalme wa Hisia. Ukipanda Hisia, lazima utakuwa utakuwa MTU wa matunda mema na mabaya
 
Watu wengi hawaelewi maana ya Sadaka. Watu wengi wanapendelea kupanda Hisia, na wanavuna Hisia.
Wengi hawaelewi namna ya kupanda Uhalisia. Mungu hupendezwa na MTU anayepanda Uhalisia, sio Hisia.

Kumbuka, shetani ni mfalme wa Hisia. Ukipanda Hisia, lazima utakuwa utakuwa MTU wa matunda mema na mabaya
tunakuja pale pale tatizo watu hawasomi neno la MUNGU
 
Tunasoma Maandiko ya Mungu , sio Maneno ya Mungu. Maneno ya Mungu hayasomwi bali yanapatikana kwa njia ya kutafakari ( kwa njia ya Roho Mtakatifu, katika Kristo Yesu)

Kumbuka, andiko linauwa, bali neno linajenga ( linatupa uzima)

Huwezi kupata neno la Mungu kutoka kwenye maandishi ya Mungu kama wewe sio mfuasi wake ( I mean, kama haujaitwa kujumuika katika njia ya msalaba through Repentance)
BIBLIA ni nini kwa post yako,naona unajichanganya ndugu...,...
2.maana yako njia ya msalaba ndo inaondoa dhambi??????????
 
Back
Top Bottom