Manabii wanaokwenda na wakati

Manabii wanaokwenda na wakati

shetani anaudanganya ulimwengu na nia yake kubwa ni kwenda na wadanadamu wengi ktk moto wa milele,.......
hawa manabii mnaowasema je mnasema mnajua sifa za kibiblia kuhusu mtu kuwa nabii????
biblia inasema ktk
WAEFESO 4;17
Basi nasema neno hili,tena nashuhudia katika BWANA ,tangu sasa msienende kama mataifa waenendavyo,katika ubatili wa nia zao,..........
huweza kuishi ktk njia za kumpendeza MUNGU alafu tena uwe kiongoz unaongoza watu then maisha yako yawe kma watu wa dunia,unyoe viduku nk ,.......Msaisha ya kuishi ktk njia za Kuishi ktk misingi ya MUNGU iko wazi.,...
ukiipenda dunia kumpenda MUNGU hakumo ndani yako,.....hao manabii wanaonyoa vibwenzi(viduku) sidhani kma wanafanya kaz ya Mungu au kaz zao binafsi kwasababu hawapo kibiblia....
ila pia sishangai kwasababu yaliyosemwa na Bwana YESU kuhusu habari za siku za mwisho yote yametimia,...ukisoma hiyo habari ktk mathayo 24 inaeleweka,....
MATHAYO 24;11-12
na manabii wengi wa uongo watatokea,na kuwadanganya wengi
12;na kwasababu ya kuongezeka maasi,upendo wa wengi utapoa.
MATHAYO 7;15-16
jihadhalini na manabii wa uongo,watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo,walakini kwa ndani ni mbwa mbwa mwitu wakali
16;mtawatambua kwa matunda yao. je watub huchuma zabibu ktk miiba au tini ktk mibaruti???
vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri,na mti mwovu huzaa matunda mabaya..
tatizo watu wanachanganywa sana siku hizi duniani ni kwasababu watu wanaitwa na kuvutwa kwanguvu tamaa za pesa na kutokujua maandiko,....
mke wa nabii anavaa surualiii???????
hadi hapa tu tayari ni shida hamna neno la Mungu hapo,.......biblia inazuia kuvaa suria suruali na ni machukizo mbele za MUNGU leo mkee wa nabii avae suruali,....hapo kuna shida,......
1YOHANA 2;15
Msiipende dunia wala mambo yake yaliyomo ktk dunia.mtu akiipenda dunia kumpendaq Baba hakumo ndaNI YAKE.....

Hao manabii wanampendaje MUNGU na kufanya kazi wake wakati mambo ya ulimwengu yamewajaaaa,..
nabii ananyoa kiduku then bado mnnasema wanampenda Mungu....
MATHAYO 6;24,...hakuna awezaye kutumikia mabwana wawili,..yaani MUNGU na mali
hao jamaa wanaenda kudesign vyuti ulaya vya gharama kubwa zanini........wanahangaikia vitu vya kupita2 duniani
tatizo watu siku hizi hawasoma biblia na kujua maandiko ndo tatzo ndo maana watu wanachanganywa na mambo ya ajabu ajabu yanaendelea kutokea,.....yatatokea zaidi ya haya na watu watazd kuvutwa na kuchanganywa na baadae watu wataacha neno la MUNGU la kweli na kwenda upotevuni bila kujua kwamaana wameacha misingi mikuu ya MUNGU ya kutumia neno lake ili wawe sehemu sahii na Mungu ataawaacha watumie akili zao binafsi
na hapo ndipo ibilisi atatwaa wanadamu wengi na kujihakikishia kuingia nao ktk jehanamu ya milele,....

WARUMI 1;28
Nakama walivyokataa kuwa na Mungu ktk fahamu zao,Mungu aliwaacha wafate akili zao zisizofaa wafanye yasiyowapasa....
ukikataa kufata kumshirikisha Mungu kwa kila jambo ktk fahamu zako na Mungu anakuacha ufate mawazo na akili binafsi..kma kuwaqza mafanikio nk.....
am sure huko sehemu makanisa yao yalipo kuna makisa ya kweli watu ambao wapo sehemu sahihi na wanaliitia jina la MUNGU Wetu wa kweli,...ila unakuta watu wanapenda makanisa wanapohubiri habari za mafanikio tu na makanisa yaliojaa watu WEEENGI ILIA HAMNA UWEPO wa MUNGU,....
Mungu atusaidiee sana siku hizi za mwisho............
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Umefafanua vyema sana. Yesu awe nawe!

d81f48e3e109048803b2788dd1838e72.jpg


e0eaded55f1d6dee45881b47ed2a9a2b.jpg


270034e5d46e98824b53ee5cfe1a0f56.jpg


c73c464394a4af547e4762d1db16fcb7.jpg
 
Wa Tanga nafikiri. Yani kuna jirani anamsubiri kwa hamu zote anasema hajali gharama. Uone ni jinsi gani watu walivyo na njaa ya uponyaji ila ndiohivo wanaangukia kwa hawa walugaluga
hiyo ni kweli,kuna mtoto alikua anaumwa wazazi wake wakapewa namba kupiga wakambiwa watume 250k ndio wapate nafasi ya kuongea na nabii.
 
mkuu ukipata tatizo kimbilio ni kwa YESU pekee,iko hivyo kabisaaaa 100%.....nlichozungumzia hapo nahisi hukuelewa,...
YESU ndiye dawa pekee kwa shida zote iko hivyo,.....nlichozungumza hujaelewa nmezungumzia manabii wauongo ambao matendo na matunda yao hayafanani na mambo ya MUngu,.....Yesu alisema tutawatambua kwa matunda yao......
mkuu mimi nimfuasi mzuri wa njia ya KRISTO Ninaamini ktk YESU kuwa ndiye mwana wa MUNGU Na alikufa na kufufuka,...
ila hawa manabii wauongo wanaopotosha watu majority ndo nliozungumzia hapo,....na ikumbukwe kuwa sio wote ni manabii wa uongo ila according to bible tutawatambua kwa matendo yao kma ya KIMUNGU au lahhh........
nabii wa MUNGU hawez kuipenda dunia kamwe
Mungu anaweka nabii atakayetangaza jina lake na si mpenda dunia na tamaa zake
na manabii nao pia wa uongo wanaponya pia ikumbukwe tena may be wantumia jina la YESU ili kupopteza watu
tutawatambua kwa matendo.....
4be84f347a4f45c0b7965c2bcdf9e653.jpg
 
ni sahihi hili swala YESU alivozungumzia habari za siku za mwisho kuwa watatokea manabii wa uongo,...inamaana wapo wa kweli thats y wauongo wapo......ishu ukija kwenye matunda yao,....tuatawatambua kwa matunda.........
Ni vigumu sana kumtambua Nabii fake kama haujafika mwisho wa njia ya msalaba na ukatumwa ulimwenguni kufanya Kazi za Mungu.

Ni dhambi kumuita MTU muovu kama huna uhakika/Uelewa na anachofanya.

Ni vyema hili lifahamike.

NB; Si kila MTU anaweouwezo wa kuwatambua MANABII fake. Ni mpaka uwe umechaguliwa na kuteuliwa na Mungu kupitia Yesu ; Roho Mtakatifu atakupa kipaji cha kuzitofautisha roho - Na atakupa matunda ( mfano , Utiifu, Uelewa, Upendo n.k )
 
unakejeli,.....
hii sio biashara ila watu wanapotosha maana halisi ya kumtumikia MUNGU.....
Pastor Chris's Jet & Car

813065862814df50f444046026704fad.jpg


Huyu jamaa hapa chini huwa anawaambia watu "Receive"... Sio " Give" ....

Biblia inasema " It is more blessed to give than to receive "

9716cb0f1222d5175cd4be7c3238485d.jpg


6caec9e629640046318361744d653c24.jpg


7d9176e647c75b402a1db69f82bacf46.jpg


87a5f38121929984fc73e1165c5006a4.jpg
 
Nampango wa kua nabii nitakua najiita Nabii leta pesa soon mtaniskia maombi yenu
 
Hizo ni dalili za mwisho wa dunia kwa kuzuka manabii wauongo.
Kila kila mtu anatafuta kilacho kwanjia ya dini. Sasa akili kichwani mwako.
 
Nampango wa kua nabii nitakua najiita Nabii leta pesa soon mtaniskia maombi yenu

Wenzako hawa hapa, huyu wa chini anajiita "Buldoza" na wa chini yake anajiita "Nabii Billionaire" .. Wote wapo Sinza, Dar es Salaam.

Wanapatikana Channel ten na StarTv

ffcfb02a43c5ab92b04c32c4ea80f042.jpg


9366fd4a3df672ce820a69c5d3b588f2.jpg
 
Alienicha hoi ni huyu mbongo ili kumwona utoe 250,000 kwanza
Huyo Ni mtumishi wa mungu kweli au mwanamazingahombwe, tatizo watu wengi wanaamini mazingahombwe kuliko neno, toka lini upako ukauzwa, "tumepewa bure tutor bure" eti wanaotaka gari, nyumba nk pokeaa!!! Amkeni mnaangamia kwa kukosa maatifa, hivi Ni nani aliyewaloga?
 
Kwa wadada, mabinti na wote ambao hawako kwenye ndoa, Kuna semina imeandaliwa pale ubungo plaza tar 9 jmosi inahusu maombezi ili mungu awape wenza. Nimemsikia Mchg Katunzi akiwaonya MSIENDE/MSIHUDHULIE kabisa kinachofanyika huko ni udhalilishaji wa kijinsia. Dada zetu shitukeni na manabii wa kuombewa upate mune mtaliwa mtadhalilishwa utu wenu, tulieni bna
 
Hizo ni dalili za mwisho wa dunia kwa kuzuka manabii wauongo.
Kila kila mtu anatafuta kilacho kwanjia ya dini. Sasa akili kichwani mwako.
Hawa jamaa hapa chini; ni wajasiliamali, wanapenda sana pesa; na wanazitafuta sana kwa namna nyingi ikiwepo hata kutumia vitu vya Mungu bila woga wala aibu,

Mmoja aliwahi kufungua kanisa pale Mwenge , zamani sana likamshinda.

Wawili siku hizi wanapenda kuorganize matamasha ya kikristo, wanaalika waimbaji maarufu.... Then wanaanza kuhubiri story zao za ujasiliamali mixing na Mambo ya Mungu ..

Huyo wa mwisho ndio wale wale tu.... " penda sana pesa" na wanaishi fake lives. Hawana Amani wala Furaha mioyoni mwao. Kwa nje wanaonekana Safi... Ndoa zao, migogoro mingi... Watoto wa nje... Etc

269bb7d152c261ebef28d8b478cfdcfc.jpg


97bdbef095ffc156353420ca433e453e.jpg


cdbd0d03bbd2af7e0d696db5a888ff04.jpg
 
Back
Top Bottom