Manabii wanaokwenda na wakati

Manabii wanaokwenda na wakati

unamaanisha nini,neno la MUNGU likoje na andiko likoje,.biblia ni andiko au neno,.usichanganye watu kwa akili zako binafsi,.
Neno la Mungu ni Taa, Andiko ni Giza. Hivyo basi, ili iweze kusoma andiko, na kuona kilichomo, ni lazima kwanza ukubali kuwa na chongo. Then, hilo jicho moja la kulia linalobaki , lazima litahiriwe,

Hapo ndipo mwanga kutoka kwenye jicho lako utatokea na kulimulika andiko vizuri. Hatua hii itakufanya kuliona neno la Mungu vyema.

Kumbuka, andiko pekee, linaua na ni msingi Mkuu wa kutenda dhambi. Ila neno la Mungu linakupa uzima wa milele.

Andiko ( Hisia) ni rahisi sana kupotea, lakini neno la Mungu ( Uhalisia) litasimama milele.
 
Nani kampa unabii ?
We unadhani unabii ni km Kondakta wa Daladala?
Hata Konda anapewa kazi hio na mtu.
Hawa Wote ni Wezi tu. Km wale wa Agape tv
Yule mnaemuita Mtume kaja Dar hata Kiswahili hajui. Anaongea kigoa tu.
Kaajiriwa na muislamu alipoona Kuna Biashara ya Kupiga debe kaanzisha Kanisa lake.
Leo.anavaa shati na Tai. Anapiga hela kilainiii.
Kazi kupiga kelele tu na Kurudiarudia maneno yale yale km matangazo ya kifo.
Ovyoo.
Unachosema ni kweli
 
1. Nabii Eubert Angel wa kanisa la Spirit Embassy, GoodNews Tv

a7caae517d18423ab94f2a614c968e4c.jpg


Hapa akiwa na Ginn Wine (Mwanamziki)

d2c4dab308554fa1d5dd21034adbb852.jpg


4b663a0db7669f643e8321fb128334f9.jpg


Hapa akiwa na mke wake Bebe Angel

3804896880f067da71229c4eb7748b80.jpg


Hapa akiwa gym

a38ba5a2a4fb971ba871953e1636de18.jpg


Mke na watoto wake

0651dc3f0c2408ad75e591ca0f6d26b2.jpg


7d5010976ffc2eb2142982aa56d43f86.jpg


bde2a1ddb54308c98345a396ba3d244d.jpg


23a285be4de5d4c9c88cbdb2289ae718.jpg


5a34b8a9ceb99426db49163b0f94f9ce.jpg


75bfb25134c9aa1dbbb410de4f184f36.jpg


2600336cd65d0a56b520f8fa32f62f5f.jpg


6081a5b4d82a37d056f64663c79d774f.jpg


7d4981e2acbefc6f2658e146fd55acc5.jpg


5e9019250dc14e2c8699043fe27b4d95.jpg


Wengine hawaapa....

7aaad4a902886eda63773018a522032c.jpg


4a274528be4e8ee2bc4dd2b2ccab6a63.jpg


f753422ad67c0c11ba35a96c4d8f4da9.jpg


Tatizo la binadamu ni kwamba wanakubali kuwa wajinga hata wakiona alama za nyakati ziko wazi. Utakuta waumini wao wabishi wa kutokubali ukweli na hawana chochote zaidi ya kufanywa vitega uchumi wa hawa manabii feki. Kweli wajinga waliwao.
 
WEZI wanawaibia Na Kuishi maisha Ya Juu halafu nyie watoa hizo pesa mnaishi ka Mbuzi zizini.
Halafu hapo hapo mnawaita Manabii na Kuwapigia magoti wawasamehe madhambi yenu.

Teh teh teh.

Yule aliyewaita KONDOO aliwapatia sana aisee.
Duh..
Kondoo ni lugha ya picha tu. Pia hata kiuhalisia, Kondoo ni mnyama anasiri nyingi sana.

Ndio maana hata Ndugu zako wanamtumia sana kutoa makafara zaidi hata ya Mbuzi na kuku. Jiulize.

So usifikiri, aliita tu. Anyways, siri zingine si vyema kufaidisha mbwa na paka. Asante
 
Hivi unavyosema sadaka za nyumbu unamaanisha nini aisee
Imeandikwa ni vizuri kuwalisha wale wanaowahubirieni neno la mungu na kuwatunza ndio sadaka hiyo
 
the meek Nahitaji kuwajua kampani ya huyu bwana,nadhani ulisema wako Sijui watano all over Africa,pia ningependa kumjua vyema yule baba yao wa imani mghana,na picha au links kama hutojali
Hawa jamaa, walinza kidogo kidogo ( kwasasa wako wengi Afrika na nje ya Africa) ... Boateng wanamuita Baba yao. Hata huyo Uebert Angel na Makandiwa wanamuita Baba. Huyo Bushiri ni mtoto wa Eubert Angel ( I mean, Angel anamuina bushiri , my son ) ;

Boateng ana sons wake , ambao ndio hao kina Eubert , Makandiwa n.k ; na hawa pia wana ma sons wao na daughters.

Ni chain kubwa sana. Wale vijana wa kwa Eubert Angel, wanapenda kuongezea Jina Angel mbele ya majina yao halisi , mfano kama wewe hapo Tobinho...basi linakuwa " Tobinho Angel" .....

Kwa hapa Tanzania , mpaka sasa nimewaona MANABII wawili waliopo kwenye chain hiyo.... Na wengi wanapenda kutumia mgongo wa Prophet TB Joshua wakati mwingine... Mmoja yupo Arusha , Mwingine Tanga.

Hawa wa Tanzania ni vijana wa Bushiri. Huyu wa Tanga , yeye aliupata mapema wakati Bushiri akiwa bado kwao Malawi kabla ya kuhamia South Africa

Kuhusu, links.. Ni vyema uka Google. Ila kama hauna neno la Mungu ndani ya Moyo wako na hauna Yesu Kristo, ni sawa na Kazi bure tu, kwani hizo informations zao hazitakusaidia lolote.... Utaziona sawa na unavyoona watu wakimtania Ray Kigosi kunywa maji kwenye matank
 
hivi sifa ya nabii ni ipi? maana siku hizi manabii wanachipua kama magugu kipindi cha masika
Awe Na uwezo wa kutoa pepo
Awe Na uwezo wa kuponya magonjwa sugu
Awe Na uwezo wa kuliza watu kanisan km si kuanguka kabisa
Awe Na uwezo wa kufasir ndoto
Na
Awe anaijua vyema biblia, Na kujua mambo yajayo
 
Hivi unavyosema sadaka za nyumbu unamaanisha nini aisee
Imeandikwa ni vizuri kuwalisha wale wanaowahubirieni neno la mungu na kuwatunza ndio sadaka hiyo
Hilo ni Andiko. Maana yake ni nini sasa? Ni vyema kuelewa maana halisi ya andiko ili upate neno la Mungu. Na hii isiwe kwa kuchukua mstari mmoja tu na kuridhika...

Matamshi ya MTU aliyetumwa kuihubiri Habari njema huwa yana kibali. Matamshi yake huwa yana Roho na Ukweli

MTU wa namna hii ndio unaweza kumpatia sadaka yako ya Uhalisia sio ya Hisia. Na Itahesabika mbele za Mungu.

Ukitaka kuelewa ninayoyaandika, nakupa mfano mmoja na nitapenda utafakari..

Ndoa nyingi zinazofungwa sasa ( kati ya 10 ni ndoa 1 moja tu ambayo inaweza kusurvive kwa miaka 4) .... unaelewa tatizo ni nini?

Je unafikiri hao wachungaji wanaozifungisha wana vibali? Kwanini wakati huu tatizo hili limeongezeka? Je wanachohubiri hawa watu ni cha kweli?

Je Biblia imesema kutoa sadaka kwa watu ambao hawajatumwa kuihubiri Injili?


Amini nakwambia kweli, ukitubu Vyema, na ukaachana na dhambi... Yesu, Mungu ninayemuelewa Mimi, lazima atakutafutia mchungaji sahihi wa kukuongoza.

Ndio maana faragha ni muhimu sana ili kupata direction. Sio kukurupuka tu kwasababu huyo MTU anajaza watu , na ukaenda kwake kwa kutumia hisia kama unakwenda kwenye Concert ya Diamond
 
Awe Na uwezo wa kutoa pepo
Awe Na uwezo wa kuponya magonjwa sugu
Awe Na uwezo wa kuliza watu kanisan km si kuanguka kabisa
Awe Na uwezo wa kufasir ndoto
Na
Awe anaijua vyema biblia, Na kujua mambo yajayo
hawa watu siku hizi wapo? sio kwamba yesu alisema baada yake hakutakua na nabii tena???
 
Awe Na uwezo wa kutoa pepo
Awe Na uwezo wa kuponya magonjwa sugu
Awe Na uwezo wa kuliza watu kanisan km si kuanguka kabisa
Awe Na uwezo wa kufasir ndoto
Na
Awe anaijua vyema biblia, Na kujua mambo yajayo
Kuna tofauti kubwa kati ya kujua na kuelewa. Bila shaka unaandika usichokielewa.
 
hawa watu siku hizi wapo? sio kwamba yesu alisema baada yake hakutakua na nabii tena???
Jaman si ndio hawa akina Mzee wa Yesu, huyu yeye anasema anakibali cha kudhibit wachawi wote east Africa

Nabii Mwingira
Nabii flora
Nabii Joshua
Nabii gwajima, wapo wengi tu, mwingine yupo Korogwe jina nimesahau
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kujua na kuelewa. Bila shaka unaandika usichokielewa.
Pengine, lkn manabii tulonao sasa sifa zao ndo hizo hapo juuu, sikulazimish mkuu, km nawe ni mmoja wa manabii wa nyakati hizi utaniswamehe
 
Hawa jamaa, walinza kidogo kidogo ( kwasasa wako wengi Afrika na nje ya Africa) ... Boateng wanamuita Baba yao. Hata huyo Uebert Angel na Makandiwa wanamuita Baba. Huyo Bushiri ni mtoto wa Eubert Angel ( I mean, Angel anamuina bushiri , my son ) ;

Boateng ana sons wake , ambao ndio hao kina Eubert , Makandiwa n.k ; na hawa pia wana ma sons wao na daughters.

Ni chain kubwa sana. Wale vijana wa kwa Eubert Angel, wanapenda kuongezea Jina Angel mbele ya majina yao halisi , mfano kama wewe hapo Tobinho...basi linakuwa " Tobinho Angel" .....

Kwa hapa Tanzania , mpaka sasa nimewaona MANABII wawili waliopo kwenye chain hiyo.... Na wengi wanapenda kutumia mgongo wa Prophet TB Joshua wakati mwingine... Mmoja yupo Arusha , Mwingine Tanga.

Hawa wa Tanzania ni vijana wa Bushiri. Huyu wa Tanga , yeye aliupata mapema wakati Bushiri akiwa bado kwao Malawi kabla ya kuhamia South Africa

Kuhusu, links.. Ni vyema uka Google. Ila kama hauna neno la Mungu ndani ya Moyo wako na hauna Yesu Kristo, ni sawa na Kazi bure tu, kwani hizo informations zao hazitakusaidia lolote.... Utaziona sawa na unavyoona watu wakimtania Ray Kigosi kunywa maji kwenye matank
ndugu TheMeek,haya mambo ninayaangalia kwa jicho la tofauti kabisa,ninajua mengi na nimepitia mengi,na bado ninaamini kuna mengi nitaendelea kuyaona. mfano mdogo jina la pili la bwana Eubert,"angel " nalifikiria kwa namna ya tofauti kabisa.Kwa utashi wako unaweza kunielewa
 
hawa watu siku hizi wapo? sio kwamba yesu alisema baada yake hakutakua na nabii tena???
Yesu Kristo ndio Foundation kuu ikifuatiwa na mitume na MANABII n.k ( Watakatifu wa Mbinguni/Duniani - Marafiki wa Yesu ) .

Huwezi kuwa Nabii, Mtume n.k bila Yesu Kristo. Yeye ndiye njia, kweli na uzima. ( the first born)

Hii ni sawa na hapa TANZANIA, ... Hakuna Kiongozi ambae anaweza kuiongoza TANZANIA na Africa pasipo kupitia maisha ya Mwl. NYERERE , kuyasoma, kuyaelewa na kuyaishi. He is the first born
 
ndugu TheMeek,haya mambo ninayaangalia kwa jicho la tofauti kabisa,ninajua mengi na nimepitia mengi,na bado ninaamini kuna mengi nitaendelea kuyaona. mfano mdogo jina la pili la bwana Eubert,"angel " nalifikiria kwa namna ya tofauti kabisa.Kwa utashi wako unaweza kunielewa
Jiulize hivi, kama wanaomlinda Magufuli wanatamani kuwa kama yeye.... Iweje tena MAGUFULI awaabudu na kuwa sujudu? Hata Biblia imeweka wazi.
 
Jaman si ndio hawa akina Mzee wa Yesu, huyu yeye anasema anakibali cha kudhibit wachawi wote east Africa

Nabii Mwingira
Nabii flora
Nabii Joshua
Nabii gwajima, wapo wengi tu, mwingine yupo Korogwe jina nimesahau
Ukiona mchungaji au mtume au Nabii ana Nick name... Tena kapewa na watu anaowaongoza na akaona fahari kuitumia.... Ujue Nick name hiyo inakamilisha alama "666"

Mfano wa majina hayo ni .... Buldoza, Katapila, Tingatinga, Nabii Billionaire, Mzee wa Yesu , Mzee wa Upako...

Please , DO NOT BE DECEIVED! THE MIND OF GOD HAS NO BUSINESS WITH STUPID TALKS OR STUPID NAMES.

MTU akitumwa kufanya Kazi za Mungu na kuitimiza Sheria yake , kupitia Yesu Kristo, kamwe hawezi kuwa na matamshi ya mzaha mzaha...

Kama Yesu kweli ni Foundation yake... Hata kuwa na Muda wa kupiga soga wala kuchekesha watu kama wafanyavyo hao. Atakuwa na attitude kama ya Yesu Kristo.


Soma Biblia, andika mstari wowote ambao umeona Yesu alicheka, au kucheza hovyo hovyo.... The man was very serious doing His Father's Business ( Fulfilling the Royal Law + Finishing His Work ) . No jokes

Jiulize kwanini alikataa na KUONDOKA baada ya kugundua (mawazo) Wafuasi wake wanamtaka kwa nguvu awe Kiongozi ( Falme) wao ; Hakutaka makuu kama hawa wa sasa wanaojipendekeza na kutafuta sifa kutoka kwa watu.

Ndio maana mara wanavaa kijeshi mara wasimikwe kama maraisi... It means hayo ndio yamewajaa mioyoni mwao ( Tamaa za Mwili) ; wanapenda kuitwa majina makubwa... Majivuno,

Yesu Kristo alipenda sana kuwatoloka watu kwenda Mazingira ya upweke. Why... Kwasababu Mazingira pia yana nguvu... Uli uyashinde lazima uwe juu yake.


Mfano; Umesikia binti kaolewa kutoka Singida... Akifika Dar es Salaam anaharibika. Au ulikua na Familia yako, Moshi mkiishi vizuri , ulivyohamia Mwanza au Dar es Salaam mke akaanza kuwa Malaya.... Na huelewi source ni nini...
 
Nani kampa unabii ?
We unadhani unabii ni km Kondakta wa Daladala?
Hata Konda anapewa kazi hio na mtu.
Hawa Wote ni Wezi tu. Km wale wa Agape tv
Yule mnaemuita Mtume kaja Dar hata Kiswahili hajui. Anaongea kigoa tu.
Kaajiriwa na muislamu alipoona Kuna Biashara ya Kupiga debe kaanzisha Kanisa lake.
Leo.anavaa shati na Tai. Anapiga hela kilainiii.
Kazi kupiga kelele tu na Kurudiarudia maneno yale yale km matangazo ya kifo.
Ovyoo.

khataan;
Naanza ku declare my interests. I am not a follower of any of the so called or calling "Prophets & Apostles", Hilo lieleweke ila nipo hapa kutoa ushauri tu.
Weye ni nani hata kumsaidia Mwenyezi Mungu? Mungu ndiye aliumba vyote, hahitaji msaada wako kuwahukumu watumishi wake. Iwe jamaa anapiga hela au vipi lakini hilo halikupi haki ya kumhukumu. Mungu tunayemjua hahitaji msaada.
Kama amemwachia kujilambia fweza yake kiulaini lakini huwa anatumia jina la Mungu huyo mwenye uwezo. Kama ingelikuwa inamwudhi Mungu angesha muondoa hapa duniani. Kwani wangapi waliovuma leo hawapo?? Ndg yangu khataan, pinga kila kitu ila mambo ya Mungu mwachiye mwenyewe.
 
alafu vCTRMA kaokoka.....hamuwezi kuelewana apo,wewe umemezeshwa na kukalilishwa mapokeo waliookoka ni tofauti ni nyie,.naomba nikuulize swali,.unajua roho mtakatifu ni nini maana yake?
nisahihi lakini madhehebu/dini hazitupeleki mbinguni,uEAGT,TAG,ROMA,LUTHERAN NK...chamuhimu ni je unamahusiano gani na MUNGU???????
unafata sheria zake na UMEMKIRI KWAKINYWA BINAFSI KUWA unaamini kuwa YESU ni mwana wa MUNGU na alikufa na siku ya3 akafufuka na akapaa yupo mbinguni?na Kutubu dhambi pamoja na misingi yote tulioachiwa na Y ESU tunaifata,..kujazwa roho mtakatifu,ubatizo wa maji mengi kama wa YESU na aliyotuagiza YESU tunayafanya effective,...hili la madhehebu linakuja baadae,.....maana vitu viko wazi ukiwa njia sahihi ya YESU lazma uwe karibu nae.baadhi ya madhehebu mihuwa naona wanaishi kwa kukariri dini na sikufata misingi ya YESU exactly,.na baadhi ya madhehebu yetu yanaENENDA kinyume na sheria za MUNGU bila wao walopokea mapokeo kuelewa,..maana tukiambiwa tusiabudu sanamu then watu bado wanaabudu sanamu,.hii ni shida,.ila mapokeo ya watu ndo yanawapotosha,.....njia sahihi ya MUNGU ni kufata na kuenenda ktk sheria zake kama tulivyoamriwa ndo best option,zaidi ni kujidanganya tu,,..
 
Back
Top Bottom