lynne
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 897
- 1,182
Skuiz watu wanatafuta muujiza tuuu wanasahau kua muujiza wako uo ndani ya imani yako. Hawa manabii watapeleka wengi motoni maana mtuu anaenda tuuu hajui neno wala niniWatu wanaweza kutafuta pesa, lakini wanashindwa kuitafuta imani ya kweli na ufalme wa Mungu kwa njia ya Yesu Kristo.
Ni heri mwalimu akufundishae neno ujue jinsi ya kujifungua kwenye vifungo vyako kuliko hawa wanaokup muujiza tuuu ukitoka hapo maish yako hata hyana tofauti katika ulimwengu wa roho unakua bado una vifungo kibao