1. KUHUSU FEDHA
Ndugu, ukiwa na Mungu your life will show it; Na ukiwa na fedha maisha yako yatajionyesha pia.
Fedha ni rafiki mkubwa wa Ceasar, ; MTU yeyote aliyekaribu na Mungu hata kama akiwa nazo, hatapenda kuziongelea mara kwa mara wala kuwa insist watu wazitafute kwa #udi na #uvumba; badala yake atawahimiza watu watafute vitu ambavyo ni vikubwa kuliko miili yao au Mazingira yao. Na atakuwa anaishi juu ya Fedha hizo, I mean, Atazitawala Fedha na kuwa mfano Bora kwa watu wengine katika Mazingira yake, ;
Kamwe hataweza kuzitumia for fleshly gains au kwa kupata fame au kutukuzwa na watu ( ku-make headlines - show off etc ) atakuwa na attitude kama ya Yesu. Dhamira yake kuu itakuwa kuserve lives, kusave lives, kufulfill the Royal Law (Love) na kufanya mapenzi ya Mungu.
Mtu wa namna hiyo pia hatakuwa anafanya ushindani na watu wa mataifa (the race of men) bali atakua anafanya ushindani na farasi ( the race of the horses) ; by fighting a good fight mpaka anakuwa Saint au kujumuika katika Familia ya Mungu mbinguni.
Fedha ni dhambi na ni mzizi mkubwa wa dhambi. Fedha ni sawa na Hekima au Vitu vya kimwili. Fedha pia ni sawa na nguo ama vazi la nje la mwili wa MTU.
Kumbuka, mbinguni hakuna Mazingira kama Haya tuliyonayo huku chini. Wala hakuna miili kama hii unayoiona. .
Kipimo kikubwa cha kugundua kuwa MTU flani ni MTU wa Mungu ni kumuangalia anacho abudu na kukisujudu. Hapa utaona MTU akiabudu na kupendelea kuwa na Vanity possessions kwa kuinvest kwenye Mwili wake na kwenye Mazingira yake , badala ya kuinvest Mbinguni.
Ulimwengu huu sio wetu, hapa tupo kama wageni tu. Kazi kubwa ya MTU aliyetumwa na Mungu ni kuwaokoa na kuwakomboa watu ili wafike mahala salama mbinguni, sio kuwabakiza hapa gizani.
Refer and Meditate.....
#Hebrews 13:5 ,"Keep your lives free from the love of money and be content with what you have, because God has said, "Never will I leave you; never will I forsake you."
#1Timothy 6:10 ,"For the love of money is a root of all kinds of evil. Some people, eager for money, have wandered from the faith and pierced themselves with many griefs"
NB; Money can buy Common things to make someone ignoble, but it cant buy uncommon things such Love, Faith , Mercy, Grace etc to make him a noble person
Do not call ignoble people - noble : Doing anything without Faith is Sin ( Copy that!)
2. KUHUSU DEUTORONOMY 8:18 inayosema .... ( hili ni andiko sio neno kama ulivyoandika)
"But remember the Lord your God, for it is he who gives you the ability to produce wealth, and so confirms his covenant, which he swore to your ancestors, as it is today."
Kama nilivyotangulia kusema kuwa kuna tofauti kubwa sana kati ya andiko na neno. Unachokisema hapa ni andiko lakini sio neno, kwasababu mstari huo haujaelewa ndani yake unamaanisha nini hasa.
Kiufupi, Huwezi kuwa mfuasi wa Yesu then ukaweza kuproduce Wealth ( Success) ; Na pia Huwezi kuwa mtumishi wa Yesu ukaproduce success/ Wealth. ( Andiko John 15:15 limebainisha)
Nina amini , Success unayoizungumzia wewe ni ile ya Hisia tu ( Vanity Success a.k.a Chasing after the wind ) na sio success ya Uhalisia.
Mstari huo ulikuwa unawakumbusha watu wawe wafuasi kikamilifu ili waweze kuwa na agano kamili na Mungu , litakaloweza kuwapa kibali cha kuwa na Wealth/ Success in Christ Jesus
3. Dunia na Ulimwengu
Ndugu, kuna tofauti kubwa sana kati ya dunia na ulimwengu. Dunia sio ulimwengu na ulimwengu sio dunia. Msingi wa dunia ni Knowledge au Power of God , na msingi wa Ulimwengu (Mazingira) ni Hekima.
Kuna vitu vikuu vitatu katika Maisha ya Mwanadamu, navyo ni Knowledge, Wisdom na Understanding: kukibwa kuliko vyote ni Understanding.
Knowledge au Wisdom , just puffs Up while Understanding builds up!!
Andiko sio neno Tafadhali, linaposema kuipenda dunia , maana yake ni kumuelimisha MTU, ili yeye pia aweze kuokolewa na kukombolewa na Yesu , pia aweze kuzitawala Hisia na mazingira yake.
Dunia ni sawa na MTU wa kimataifa/ a sinner. Au kwa maana nyingine flesh/ things of human/worldly standards
Upendo = Imani+Matumaini+ Dhamira
USHAURI; Ukiendelea kutumia maandiko ya Biblia na kuyaita neno la Mungu pasipo kuyaelewa undani wake, utakuwa sawa na Magaidi; " Andiko linauwa, Neno linatoa uzima "
Acha dhambi, rudi msalabani in Truth and in Obedience then Jeremiah 33:3 shall work upon you & yours, in Christ ( for God's glory)