Manabii wanaokwenda na wakati

Manabii wanaokwenda na wakati

Anaitwa nambii frank wa kanisa la shiloh lipo tanga na kapunguza bei ilikuwa laki 3
Sasa MTU kama huyo, anatofauti gani na mganga wa kienyeji?

Siku moja nilimsikia Startv akiamrisha malaika waende wakaue MTU kwa lazima yake, la sivyo anawauwa.

Watanzania wengi hawamuelewi Mungu na wala hawataki kutubu madhambi yao, ili rehema na neema zake ziweze kupenya ndani ya Mioyo yao.

Hawa jamaa ndio waharibufu wakubwa wa Taifa letu;

Tatizo hata viongozi wa Serikali wanashindwa kuwabana kutokana na kukosa Uelewa, pamoja na kuishi kwa hofu, kwamba huenda pengine wakawadhuru.
 
Sasa MTU kama huyo, anatofauti gani na mganga wa kienyeji?

Siku moja nilimsikia Startv akiamrisha malaika waende wakaue MTU kwa lazima yake, la sivyo anawauwa.

Watanzania wengi hawamuelewi Mungu na wala hawataki kutubu madhambi yao, ili rehema na neema zake ziweze kupenya ndani ya Mioyo yao.

Hawa jamaa ndio waharibufu wakubwa wa Taifa letu;

Tatizo hata viongozi wa Serikali wanashindwa kuwabana kutokana na kukosa Uelewa, pamoja na kuishi kwa hofu, kwamba huenda pengine wakawadhuru.
Yan anamambo meng sana na baadh ya kugha zake zinakera ...humu jf kuna uzi wake
 
Duuh!

Tuliambiwa siku za mwisho watatokea manabii wengi waongo... Ndio hawa sasa
Ila siwalaum wagonjwa wanaokimbilia mana ukishaumwa bwana hata ukiambiwa hiki kinatibu unaambin tu ili mrad upone basi
 
Yan anamambo meng sana na baadh ya kugha zake zinakera ...humu jf kuna uzi wake
Hiyo ni Network kubwa sana kwasasa. Inaharibu watu wengi sana pasipo wao kujielewa.

Hawana tofauti na Magaidi.
 
Duuh!

Tuliambiwa siku za mwisho watatokea manabii wengi waongo... Ndio hawa sasa
Hawa unaowaona , ni wale konkodi; wapo wengine hawana appearance hizi na wanajifanya watakatifu.

Utawatambua kwa Matunda ya Mungu ( Utiifu, Wanachoabudu+kusujudu+Uelewa+Contentment+Humility+ Endurance, Upendo, Dhamira etc)
 
Hawa unaowaona , ni wale konkodi; wapo wengine hawana appearance hizi na wanajifanya watakatifu.

Utawatambua kwa Matunda ya Mungu ( Utiifu, Wanachoabudu+kusujudu+Uelewa+Contentment+Humility+ Endurance, Upendo, Dhamira etc)
Ni kweli kwa matunda yao tutawatambua...
 
Ni kweli kwa matunda yao tutawatambua...
Kama Nabii anakuwa shaped na ulimwengu huu kwa kila kitu, maana yake nini?

00f19158c85e4163d6469daecafff9c0.jpg

Ni kweli kwa matunda yao tutawatambua...
Kama Nabii anakuwa shaped na ulimwengu huu kwa kila kitu, maana yake nini?
 
Kama Nabii anakuwa shaped na ulimwengu huu kwa kila kitu, maana yake nini?

00f19158c85e4163d6469daecafff9c0.jpg


Kama Nabii anakuwa shaped na ulimwengu huu kwa kila kitu, maana yake nini?
Mana yake ni nabii wa uongo ndio hao wanaoita bwana bwana lakini hawatambuliki
 
Hawa jamaa, wanaamini katika nguvu za giza walizonazo ; Wanawahadaa watu kwa hizo nguvu; ukiwasikiliza kwa makini... Hakuna neno la Mungu wanalolitoa zaidi ya Hekima ya kidunia

Wewe ni Muongo.toka lini Prophet urbert Angel hatumii neno la MUNGU ? na nanii kakuambia life style yake inategemea sadaka ? unajua kwamba ni mfanyabiashara mkubwa ? the guy is stil young now niambie utakusanya sadaka shingapi ndani ya muda mfupi alioanza huduma kuweza kumnunulia mkewe lamboghini ? unatumia maandiko ghani kuwaita watumishi wa MUNGU ni wauongo ? Na je ni dhambi mtu tajiri kumtumikia MUNGU ? alafu kingine umedanganya hayupo christ embassy anahuduma yake spirit embassy
 
Wewe ni Muongo.toka lini Prophet urbert Angel hatumii neno la MUNGU ? na nanii kakuambia life style yake inategemea sadaka ? unajua kwamba ni mfanyabiashara mkubwa ? the guy is stil young now niambie utakusanya sadaka shingapi ndani ya muda mfupi alioanza huduma kuweza kumnunulia mkewe lamboghini ? unatumia maandiko ghani kuwaita watumishi wa MUNGU ni wauongo ? Na je ni dhambi mtu tajiri kumtumikia MUNGU ? alafu kingine umedanganya hayupo christ embassy anahuduma yake spirit embassy
Bila shaka hata wewe pia utakuwa mfuasi wake. Akili imelala, huwezi kuelewa hata nikikueleza. Endelea kupanda upepo...
 
Bila shaka hata wewe pia utakuwa mfuasi wake. Akili imelala, huwezi kuelewa hata nikikueleza. Endelea kupanda upepo...

Nimekueleza kwa hoja ni jibu kwa hoja acha mihemko.unless ulitafuta kuwashambulia hao watumishi wa MUNGU.mimi ni mfuasi wa kristo na bible.tumia bible ujibu maswali yangu na uonyeshe wapi wameenda kinyume na maandiko
 
Back
Top Bottom