Man of the moment: Reverend Christopher Mtikila

Man of the moment: Reverend Christopher Mtikila

Umesababisha niisome mada husika yote. nanimejifunza hiki katika post yako. either lugha aliyotumia Mwalim Said haipandi au hukuisoma habari husika. ametumia maneno makali sana juu ya mtikila. kwa wale waliosoma na kuelewa watakubaliana na mimi.
Bouncer

Nimepata like 15 wewe umepata like moja.. nani yuko sahihi hapo.. sijali mtakavyonifikiria wewe, faiza fox, big show nk nk najua niko sahihi mbaya..
 
Mtikila hana muda mrefu macho yake yatapofolewa maana sasa amesema kuna watu wanamfuatilia na sio watu wenye nia nzuri kwake!

Tayari ameshafungua RB kwani hali Ya Usalama wake upo hatiani ndugu wa karibu amenipenyezea ujumbe huu! Sasa Mtikila halali nyumbani kwake kwani Usalama wake upo mashakani
 
Nimepata like 15 wewe umepata like moja.. nani yuko sahihi hapo.. sijali mtakavyonifikiria wewe, faiza fox, big show nk nk najua niko sahihi mbaya..
uwezo wako umeishia kwenye kupewa like! nilikuwa sijui kumbe kuna watu wanagombania like. sijawahi fikiria hata kidogo. ndo maana sinaga huo muda na malike yenu. kumbe like kwako ni dili bila shaka itakusaidia kuongeza salio kwenye simu yako!
kwa kifupi nimejifunza kitu kutokana na post yako.
 
uwezo wako umeishia kwenye kupewa like! nilikuwa sijui kumbe kuna watu wanagombania like. sijawahi fikiria hata kidogo. ndo maana sinaga huo muda na malike yenu. kumbe like kwako ni dili bila shaka itakusaidia kuongeza salio kwenye simu yako!
kwa kifupi nimejifunza kitu kutokana na post yako.

una mambo mengi ya kujifunza toka kwangu.. the point behind like ni agreeing with one's idea or supporting it or touched by it... ikiwa hulijui hilo na wewe umo humu daily basi endelea kujifunza kwangu.. utaelewa taratibu tu. soma vizuri statement yangu inajieleza vizuri haikuishia kwenye like tu...
 
una mambo mengi ya kujifunza toka kwangu.. the point behind like ni agreeing with one's idea or supporting it or touched by it... ikiwa hulijui hilo na wewe umo humu daily basi endelea kujifunza kwangu.. utaelewa taratibu tu. soma vizuri statement yangu inajieleza vizuri haikuishia kwenye like tu...
sina cha kujifunza kwako. mtu unayeamini kugongewa like ndo kila kitu nitajifunza nini hapo? kama sio mapovu tu.
 
1701Naona unataka kuwapa tabu wazazi wako na ndugu zako najua lazima watachoka kuja kukutembelea gerezani, haya ni ni maandishi hayafutiki.Unaweza kujiona upo salama umejificha lakini kumbuka upo kwenye nyumba ya buibui watu kukufikia ni muda mchache.Unajua kumtishia mtu kifo ni kosa la jinai.[/QUOTEnatambua kuwa ni kosa la jinai,ila kumbuka ni bora kumtoa sadaka mmoja ukaokoa mia mbili..na kwenye legal perpectv remember that all of the wrongs hitler did was legal in german,ndo maana hata tz mwizi wa mali za umma anayeumiza mamilioni ana adhabu ndogo kuliko mwizi wa ng'ombe
 
Last edited by a moderator:
Watanzania hasa wapenda maendeleo na mabadiliko inabidi kipindi hiki cha kampeni kila kiumbe anajipeleka au kuitwa na media yoyote tumchunguze kwa jicho la tatu.

Mtikila ni mchungaji mwenye kanisa lisilozidi watu hamsini lina umri usiopungua miaka15..swali kwanini watu hawamtaki? Kwanza naona mambo haya: ana roho ya husuda, uchonganishi, tamaa na wivu....

Mtu wa aina hii ndo jamii za kina slaa hawezi kufanya kazi ya Mungu.. Mi nimefwatilia mada yake nikangundua kwanza amejaa wivu wa kukatwa na kukosa lile fungu la kampeni..

Mtu kama mchungaji mwenye imani badala ya kuombea wagonjwa wapone unasema hawafai kwenda ikulu!

Mwisho kabisa anasema mi siwezi kuisemea CCM..nani kamuuliza? Akili kumkichwa
 
Umetumwa, naona vijana wa mzee mnajitahidi kupunguza ukali, mmeshikwa pabaya.
 
Ushauri wa bure kwa CCM na wote mnaotumika, waacheni wananchi waamue..hizi mbinu zenu za kitoto zinazidi kuwamaliza

Ah Ukawa Why Everything Kikisemwa Against You Mnawatupia Lawama Ccm?
 
Kwa taarifa yako mi nasema yanayooneka sina iitikadi ya chama
 
Watanzania hasa wapenda maendeleo na mabadiliko inabidi kipindi hiki cha kampeni kila kiumbe anajipeleka au kuitwa na media yoyote tumchunguze kwa jicho la tatu.

Mtikila ni mchungaji mwenye kanisa lisilozidi watu hamsini lina umri usiopungua miaka15..swali kwanini watu hawamtaki? Kwanza naona mambo haya: ana roho ya husuda, uchonganishi, tamaa na wivu....

Mtu wa aina hii ndo jamii za kina slaa hawezi kufanya kazi ya Mungu.. Mi nimefwatilia mada yake nikangundua kwanza amejaa wivu wa kukatwa na kukosa lile fungu la kampeni..

Mtu kama mchungaji mwenye imani badala ya kuombea wagonjwa wapone unasema hawafai kwenda ikulu!

Mwisho kabisa anasema mi siwezi kuisemea CCM..nani kamuuliza? Akili kumkichwa

Hii yote haiondoi ukweli wa kile alichokisema
 
Kwa taarifa yako mi nasema yanayooneka sina iitikadi ya chama

Yapi Yanayoonekana?Hata Mada Yako Umeandika Kishabiki,unaposema" Kiumbe Dhaifu Aliyetumwa Kudhoofisha Ukawa "Whats Your Point?Nani Aliyemtumia?
 
Mtikila anajua anachosema, kama chadema wanabisha wampeleke mahakamni.

Tangu 2005 anadai ana ushahidi kifo cha Wangwe, lakini haendi mahakamani.
Ukombozi anaoutaka utapatikana baada ya kwanza kuingoa CCM, yeye anaitetea ibaki madarakani.Badala yake anaiandama CDM na UKAWA.
Dawa ya MTU anaeweweseka ni kumpuuza tu sasa na wenzie kamati32.
 
Mtikila ni aina ya wachungaji njaa wanaogeuza makanisa vitega uchumi anawaza tumbo lake ndo mana aropokwa tu
 
Back
Top Bottom