Mtikila ni aina ya wachungaji njaa wanaogeuza makanisa vitega uchumi anawaza tumbo lake ndo mana aropokwa tu
gwajma .. wew unamuonaje ama kwa vile aliwaletea mwali .. mmekua kipofu hamuoni tena mbele
Mtikila ni aina ya wachungaji njaa wanaogeuza makanisa vitega uchumi anawaza tumbo lake ndo mana aropokwa tu
Ni maajabu haya kuona watu km Mtikila sasa wanakuwa ni.marafiki wa CCM....wako wapi mwaka huu wazee wa propaganda km Wassira, Lukuvi na kina Makamba???
Ni majaabu sana kuamini kuwa Mtikila anaweza kuwa na ushawishi wa kubadili misimamo ya watu kwa sasa???
Wasira anapumulia mashine jimboni kwake.
Duh, kwahiyo inaweza kuwa ndio mwisho wake kisiasa, pole sana mzee Tyson
Ukibishana na chizi nawe utaonekana chizi tu, huyo wacha abwabwaje kwa vile anaitendea haki hela aliyolipwa na ccm. Kazi iliyo mbele ya kila mtanzania mwenye akili timamu nu kuichinja ccm hapo 25/10/2015
Kwani Mtikila ile kazi anayofanya nani anamlipa kama siyo CCM?
Kwani Mtikila ile kazi anayofanya nani anamlipa kama siyo CCM?
Watanzania hasa wapenda maendeleo na mabadiliko inabidi kipindi hiki cha kampeni kila kiumbe anajipeleka au kuitwa na media yoyote tumchunguze kwa jicho la tatu.
Mtikila ni mchungaji mwenye kanisa lisilozidi watu hamsini lina umri usiopungua miaka15..swali kwanini watu hawamtaki? Kwanza naona mambo haya: ana roho ya husuda, uchonganishi, tamaa na wivu....
Mtu wa aina hii ndo jamii za kina slaa hawezi kufanya kazi ya Mungu.. Mi nimefwatilia mada yake nikangundua kwanza amejaa wivu wa kukatwa na kukosa lile fungu la kampeni..
Mtu kama mchungaji mwenye imani badala ya kuombea wagonjwa wapone unasema hawafai kwenda ikulu!
Mwisho kabisa anasema mi siwezi kuisemea CCM..nani kamuuliza? Akili kumkichwa
Mtikila anajua anachosema, kama chadema wanabisha wampeleke mahakamni.