Man of the moment: Reverend Christopher Mtikila

Man of the moment: Reverend Christopher Mtikila

Ukristo ni dini ya wazungu.

Uislamu ni dini ya waarabu

hindu ni dini ya wahindi,wachina na wajapan

othodox ni dini ya warusi na wairaeli

maafrika yanatambiana dini za wenzao, nyie wote mnashabikia udini ni wakupuuzwa. Nani kasomeshwa shule na ada ya dini hapa, nana analishwa na dini hapa,nani anafikiria kwa kichwa alichopewa na dini yake.

Narudia tena yeyote anayefikiri kwa fikra za kidini ni wa kupuuzwa. Kuna wengine wanapewa fedha za misaada ya kujenga huduma za kijaimii kwa waumini wao wanakula ili kuficha ukweli wanatengeneza propaganda
 
juniour12

Juniour,
Ikiwa umeingia katika blog yangu na ukashindwa kunijua.
Kwa hili unanipa wasiwasi kuhusu uwezo wako.

Blog ile imejaa paper/vitabu vyangu pamoja na picha zangu achilia vitabu
vya wasomi wengine nilivyofanya, "review," mna mambo mengi na bado
hujanijua.

Sasa na mimi ushanipa shida ya kujua uwezo wako wa kufikiri na kama kweli
mimi na wewe tunaweza kufanya mjadala wa maana.

Sasa labda niulize swali moja moja kuhusu mimi nikujibu.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said

Anyway nime kuelewa mkuu,Kama hutojali naomba tujadili/tuhamasishe upendo,Amani na mshikamano na bado nina imani na wewe Hutopenda kuona watu (watanzania) tukichinjana na kuuana kwasababu ya DINI.
 
Last edited by a moderator:
Masanja

Masanja,
Swali hili la kuwa mimi naandika dini nilishalijibu mara nyingi.

Hata kama nitataka kuandika kuhusu dini sitaweza kwa kuwa sina
ujuzi huo.

Hebu soma tena bandiko la Reverend Mtikila na jitahidi kuhangaisha akili
yako uone mwandishi anaeleza kitu gani:


  1. Mtikila came to prominence in 1988 when he circulated a letter at the CCM Kizota Conference in Dodoma in which he accused Mwinyi of propping up Islam at the expense of Christianity Mtikila's DP manifesto is to break the union between Zanzibar and Tanganyika and to expel Arabs, Somalis and Indians from the country. Conspicuously absent from his list of expulsion were Europeans. It was not difficult to understand why. Mtikila was pro-Christian and therefore could not be anti-European.
  2. The Christian monopoly in politics and in the media contributed into fuelling religious tension because of its anti- Muslim stand. The press picked on Muslims ministers scandalising them at will. Muslims in the governments were accused by the press for all sorts of offences from "praying in their offices" to selling the country to rich Arab Sheikhs" from the Middle East.
  3. The Church should have risen to condemn Reverend Mtikila but it did not do so instead Catholic Bishops of Tanzania through the Tanzania Episcopal Conference (TEC) started to issue what came to be known as Pastoral Letters which were very critical of Mwinyi's rule accusing his government of every ill in the country from incompetence to corruption. [1] The Pastoral Letters were echoed by the media and state-radio.

    Masanja soma tena hayo hapo juu kisha rejea katika mjadala ila nitakusaidia kitu kimoja.
    Soma hapo chini:

    Barua ya Mtikila kwenda kwa wajumbe wa Mkutano wa Kizota si barua ya dini wala Barua za Kiaskofu si barua za kidini kwa maana ya "doctrinaire."

    Mimi nimeingia humo kuchambua siasa jinsi zilivyobadilika Tanzania na ndipo nikaandika mswada huo wa kitabu: "Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania."
 
Last edited by a moderator:
Anyway nime kuelewa mkuu,Kama hutojali naomba tujadili/tuhamasishe upendo,Amani na mshikamano na bado nina imani na wewe Hutopenda kuona watu (watanzania) tukichinjana na kuuana kwasababu ya DINI.

Juniour,
Umesoma kitabu changu: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes...?"
 
Labda kuna ukweli fulani kwamba Wagalatia wana akili zaidi kuliko hao wengine. Ila ukichunguza kwa undani, kati ya marais wanne waliopita, hebu angalia ni marais gani ambao ni dhaifu!

Mi nadhani kuna haja ya kuangalia dini ya mgombea urais kabla hatujamchagua. Kati ya marais 4 wa tanganyika,2 wa dini flani wameonyesha wazi kwamba dini yao imechangia wao kuharibu.

Dini ya mtu ni muhimu kabla hajachakuliwa.
 
Abunuas

Abunuwas,
Inawezekana kweli hakuna kitu katika bandiko langu.
Binadamu jambo la kughitilafiana lipo siku zote kwani uwezo umepishana.

Juu ya hayo ningefarajika kama ungeeleza hayo kistaarabu hapakuwa na
haja ya kutukana.
 
Last edited by a moderator:
JUST

Mkuu othodox sio dini ni kanisa katoliki la mashariki ambalo wanaabudu kama kanisa katoliki lakn kiongozi wao sio Papa
 
Last edited by a moderator:
Umesababisha niisome mada husika yote. nanimejifunza hiki katika post yako. either lugha aliyotumia Mwalim Said haipandi au hukuisoma habari husika. ametumia maneno makali sana juu ya mtikila. kwa wale waliosoma na kuelewa watakubaliana na mimi.
Bouncer
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said

Wewe Binafsi ni nani
Unataka nini?
Kwanini sasa
Familia yako ni ya kina nani
Unauchungu na nchi hii
Unakubaliana na katiba pendekezwa.

Hautumiki?
Ni hayo tu
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said

Na Netanyahu ameshinda tena uchaguzi israel viva netanyahu magaidi hawana nafasi tena
 
Last edited by a moderator:
Hivi enzi za nyerere huyu mzee Mohd Said alikuwaga wapi? Imekuaje anaonekane vocal sana kipindi hiki ili tumuone ubavu wake akipambana na wazee wenzake kwenye jumuia za carriber

= caliber


Enzi za Nyerere kulikuwa na mtandao? TV yenyewe ilikuwa hakuna. Usitake kuchekesha watu saa hizi.

Al Alama Mohamed Said mpe ile khabari ya Africa Events lililonunuliwa lote ili lisisambazwe kwa sababu tu.
 
Hii dini Ni vurugu tuu kila sehemu.Hivi wanakwenda Mbingu ipo Hawa .Mbona Shida tuu!
 

= caliber


Enzi za Nyerere kulikuwa na mtandao? TV yenyewe ilikuwa hakuna. Usitake kuchekesha watu saa hizi.

Al Alama Mohamed Said mpe ile khabari ya African Evetns lililonunuliwa lote ili lisisambazwe kwa sababu tu...

Maalim Faiza,
Masikini ya Mungu hawa ndugu zetu sijui kwa nini hawapendi kutafiti lau
kidogo ili waweze angalau kujisaidia wao wenyewe.

Bouncer angechukua tabu kidogo tu ya kutafiti hapa JF angejifunza mengi
na pasingekuwa na haja ya yeye kujifedhehesha hapa majlis kuwa hajui kitu.

Kuna wengi hapa wananiuliza wanasema hawanijui.
Mimi ni huyo hapo chini nikiandika mwaka wa 1988:


  • quote_icon.png
    By Mohamed Said

    Mshume Kiyate,
    Wakati mwingine mie hupigwa na butwaa khasa.

    Yaani kuna mambo Maalim Haruna alikuwa akitufundisha ndiyo leo
    nayaona.

    Alikuwa anasema, ''Kila yule ajionae kuwa yeye ana nguvu sana basi
    kaa ukijua ana kitu anakiogopa.

    Ukishajua kitu kinachomtia hofu basi

    jua kile kibri chake chote Allah kesha kiondoa.''

    Mimi nikawa najiuliza.


    Hivi mna kitu gani cha kutisha katika maisha ya Abdul Sykes kiasi

    juhudi kubwa ije ichukuliwe kumfuta katika historia?

    Nikawa najiuliza hivi haya nishuhudiayo ni kweli au niko katika ndoto?

    Iko siku ndugu yangu mmoja kaja kunipa habari.

    Anasema yeye alikuwa kasimama kwa muuza magazeti Tancot House.


    Mara ikaja Volkswagen Kombi ikapaki akashuka mtu akauliza Africa

    Events alipooneshwa akayanunua yote.

    Hii ilikuwa April 1988.


    Ilipofika mwezi Septemba ikiwa miaka 20 kamili imetimia tangu Abdul
    Sykes
    afariki.


    Africa Events wakachapa makala ya kumbukumbu ya kifo chake: M.
    Said
    , ‘Founder of a Political Movement: Abdulwahid K. Sykes 1924-

    1968', Africa Events, London September, 1988, pp. 38-41.

    Katika makala hii bila kuuma maneno nikaandika nikasema Abdul
    Sykes
    ndiye aliyeunda TANU.


    Nikakaa nasubiri kama CCM Dodoma safari hii watakuja na majibu

    ya vitisho na fedhuli.

    Kimyaaaa!


    Dk. Kiwanuka
    hakunyanyua kalamu kunijibu.
    Wala gazeti halikukusanywa.

    Kuna watu wakanifata kuniuliza kuhusu historia ya TANU na kwa

    nini naandika vile.

    Mimi nikawaeleza kuwa mimi sina nia ya kupingana na historia

    inayofahamika na ambayo ndiyo rasmi.

    Huenda hakika kulikuwa na watu wawili wote wana fikra moja ya

    kuunda TANU.

    Huyu mmoja yeye historia yake ya kuasisi TANU inafahamika lakini

    huyu wa pili yeye ni marehemu, historia yake si wengi wanaijua.

    Kwa kuwa mimi historia hii naijua ndiyo nimeamua kuitafiti na

    kuiandika ili nayo ijulikane isipotee.

    Hili ndilo likawa jibu langu makhsusi kwa kila aliyekuja kuniuliza

    kuhusu historia ya Abdul Sykes na TANU.

    Sasa ngoja nikurudishe kwa baba yangu, Said Salum Abdallah.

    Baba yangu alikuwa Tabora ameshastaafu.

    Gazeti lile la Abdul Sykes akalipata.


    Basi nasikia alikuwa kila anaepita lazima amwonyeshe picha ya rafiki

    yake Abdul ndani ya gazeti kisha amsomee yale niliyoandika.

    Akimaliza kumsomea makala ile sasa anasherehesha vipi yeye alijuana

    na Abdul vipi Abdul alivyomjulisha kwa Nyerere nyumbani kwake
    mwaka 1952 nk. nk.

    My old man was really having a good time...


    Kama alivyoimba Ray Charles, ''Let the good times roll.''



    Mshume Kiyate,


    Mimi hivi ndivyo nilivyokuwa nikiwasikia wazee wangu wakihadithia

    historia ya uhuru.

    Bibi yangu Bi. Zena biti Farijala "hero" wake yeye alikuwa Harry
    Belafonte.

    Kwa nini?
    Babu yangu alimpeleka kwenda kuona movie: ''Island in the Sun.''

    Stori ilikuwa mapambano dhidi ya ukoloni.

    Hii ilikuwa 1957.

    Google utapata synopsis ya hii movie.

    Hii dunia ndogo sana, tena sana.

    Niko New York.

    Nakaa karibu na Hudson River, Manhattan.

    Mwenyeji wangu katika mazungumzo ya hapa na pale tumezungumza

    kuhusu wanamuziki wakubwa wa wakati wetu mie nikamkumbuka
    Harry Belafonte.

    Basi yule bwana akanyoosha kidole akanambia, ''Ukivuka hapo
    Hudson River ndiko iliko nyumba ya Harry Belafonte.''

    Nikikitazama hiki kitabu namkubuka mke wangu, Zena biti Farijala
    na movie yake aliyokuwa heshi kuihadithia ya ''Island in the Sun.''

    Wakati ule Belafonte alikuwa katoa kitabu cha maisha yake kakipa
    jina
    la ''My Song.''


    Ninacho katika maktaba yangu.


    [TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
    [TR]
    [TD]
    0
    [/TD]
    [/TR]
    [TR]
    [TD="class: tr-caption"]125 Street Harlem, New York[/TD]
    [/TR]
    [/TABLE]

 
Just one thing master of Extreme Islamic movements..... are you convinced that only religion is the source of poverty, high illiteracy level, bearing so many unplanned kids, laziness, and poor housing condition compared to other community with different beliefs? are you even aware of a Muslim employer paying very less to fellow Muslims.... what a government! compared to other fellows?okay, okay you talking good good about Arabs and Indians... as Muslim and black... do you even shake hands? what praying in same house ! do you know how your fellow Muslims have been treated in India?... can you justify that differences in Religion in our country is the major cause of poverty to your oppressed side? if yes... are you even aware that the poverty of your community and illiteracy level are still very high regardless of the President in Power?
Are you even aware that the true enemy of Tanzania currently are Corruption, Illiteracy, Extreme Poverty and Poor Leadership?
By the way, are you aware that politician looks at their pocket and power and not the poor you..... thats why people of albinism suffer the semi atheist consequences?
Are you even aware that in Tanzania religion is just for burial? people bear just a religion name without even a choice?
Do you even think of so many whom life suffers a lot just because of believing in what they don't understand properly?
Are you even aware that most of smart people don't even give a damn about your religion or whatever.. and they chase only paper and not your mere emotions based on weak grounds?
Why don't you use your time properly on other important things rather than disturbing serious people and rising the emotions of the lazy community whom get what they deserve?
Are you even aware that the majority of Tanzanians are either atheist or other religion and never Muslims or Christians?
 
Huyu mzee mohamed said uchuro unamsumbua for ur infor tanzania will never be a heven of terrorists

Ilan Ramon,
Unaandika kwa hasira na huku ushajipa jibu unalopenda.

Ugaidi hauna uhusiano wowote na Uislam.
Ukitaka kujua ukweli ingia katika mjadala kiungwana na uliza maswali utajibiwa.

Anaeua nafsi moja ni sawa kama ameua dunia nzima.
Haya ndiyo mafunzo ya Uislam.

Mwaka wa 2006 nilitoa mada Chuo Kikuu Cha Ibadan, Nigeria kuhusu ugaidi.
Chukua muda uisome:

ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT - Mohamed Said
 
Back
Top Bottom