Wasira anapumulia mashine jimboni kwake.
mkuuu wew uko bunda ..huyu dada mbona mwepes sana kwa wasira zaida ya hapa mjini na nyasura estra hawez shinda kungine mark my words
Watanzania hasa wapenda maendeleo na mabadiliko inabidi kipindi hiki cha kampeni kila kiumbe anajipeleka au kuitwa na media yoyote tumchunguze kwa jicho la tatu.
Mtikila ni mchungaji mwenye kanisa lisilozidi watu hamsini lina umri usiopungua miaka15..swali kwanini watu hawamtaki? Kwanza naona mambo haya: ana roho ya husuda, uchonganishi, tamaa na wivu....
Mtu wa aina hii ndo jamii za kina slaa hawezi kufanya kazi ya Mungu.. Mi nimefwatilia mada yake nikangundua kwanza amejaa wivu wa kukatwa na kukosa lile fungu la kampeni..
Mtu kama mchungaji mwenye imani badala ya kuombea wagonjwa wapone unasema hawafai kwenda ikulu!
Mwisho kabisa anasema mi siwezi kuisemea CCM..nani kamuuliza? Akili kumkichwa
Watanzania hasa wapenda maendeleo na mabadiliko inabidi kipindi hiki cha kampeni kila kiumbe anajipeleka au kuitwa na media yoyote tumchunguze kwa jicho la tatu.
Mtikila ni mchungaji mwenye kanisa lisilozidi watu hamsini lina umri usiopungua miaka15..swali kwanini watu hawamtaki? Kwanza naona mambo haya: ana roho ya husuda, uchonganishi, tamaa na wivu....
Mtu wa aina hii ndo jamii za kina slaa hawezi kufanya kazi ya Mungu.. Mi nimefwatilia mada yake nikangundua kwanza amejaa wivu wa kukatwa na kukosa lile fungu la kampeni..
Mtu kama mchungaji mwenye imani badala ya kuombea wagonjwa wapone unasema hawafai kwenda ikulu!
Mwisho kabisa anasema mi siwezi kuisemea CCM..nani kamuuliza? Akili kumkichwa
watanzania hasa wapenda maendeleo na mabadiliko inabidi kipindi hiki cha kampeni kila kiumbe anajipeleka au kuitwa na media yoyote tumchunguze kwa jicho la tatu.
Mtikila ni mchungaji mwenye kanisa lisilozidi watu hamsini lina umri usiopungua miaka15..swali kwanini watu hawamtaki? Kwanza naona mambo haya: Ana roho ya husuda, uchonganishi, tamaa na wivu....
Mtu wa aina hii ndo jamii za kina slaa hawezi kufanya kazi ya mungu.. Mi nimefwatilia mada yake nikangundua kwanza amejaa wivu wa kukatwa na kukosa lile fungu la kampeni..
Mtu kama mchungaji mwenye imani badala ya kuombea wagonjwa wapone unasema hawafai kwenda ikulu!
Mwisho kabisa anasema mi siwezi kuisemea ccm..nani kamuuliza? Akili kumkichwa
gwajma .. wew unamuonaje ama kwa vile aliwaletea mwali .. mmekua kipofu hamuoni tena mbele
Ni kweli ila hana tofauti na Gwajima. Ukiuona ukweli wa Gwajima pia utauona ukweli wa mtikila.Mtikila ni aina ya wachungaji njaa wanaogeuza makanisa vitega uchumi anawaza tumbo lake ndo mana aropokwa tu
Mtikila anajua anachosema, kama chadema wanabisha wampeleke mahakamni.