Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
Unaenda dukani/supermarket kununua mvinyo na vitu vingine vya home. Mkeo anakwambia umnunulie pedi. Utajisikiaje?
Pedi ndiyo nini arifu?
Mama aliyenizaa, Shangazi yangu, Dada yangu wote pedi zinawahusu!
Hicho kioja cha mie kumnunulia pedi mdau wangu kitandani utatoka wapi ?
Tena mi naibeba hata bila mfuko! Ukinijadili kimpango wako! Hunizidishii !
Hunipunguzii !
Una akili sana wewe. . .Mama aliyenizaa, Shangazi yangu, Dada yangu wote pedi zinawahusu!
Hicho kioja cha mie kumnunulia pedi mdau wangu kitandani utatoka wapi ?
Tena mi naibeba hata bila mfuko! Ukinijadili kimpango wako! Hunizidishii !
Hunipunguzii !
Una akili sana wewe. . .
Mambo mengine watu wanakuza tu bila maana.
Unaenda dukani/supermarket kununua mvinyo na vitu vingine vya home. Mkeo anakwambia umnunulie pedi. Utajisikiaje?
Unaenda dukani/supermarket kununua mvinyo na vitu vingine vya home. Mkeo anakwambia umnunulie pedi. Utajisikiaje?
Pedi ndiyo nini arifu?
Uko kidato cha ngapi wewe??????!!!!!