platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,155
- Thread starter
- #61
yaonekana wamjua vizuri huyu ...!! mavumba yamo nini? afu tuko na wabunge humu. usikute ndo Halima Mdee huyu.!!!!!!!
Siwezi kutoa siri kabisa..ila kifupi ana cheo fulani jeshini.....ana historia nzuri ya vita ya Kagera.. alikuwa akimkamata adui ni kisu tu