Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Wanaweza sema "kajiteka" au kamtembelea mpenzi wake.'Labda atakua ameenda kutembelea ndugu na jamaa....'.majibu ya askari wapenda haki walipopotea kipindi Cha magu..
Anajiongezaje anaacha wallet inapesa nyingi pamoja na kadi ya benki mpaka vitambulisho vya bima ya Afya? Sizani
Polisi kupotea sina wasiwasi labda angepotea soldier mmmm polisi wanaonea Sana natamani wapotee wote tubaki na masoldier
Waulize polisi hilo swali.Wewe Evelyn salt umewahi kujiteka?
Zipige hapa mkuu,tusije tukahamia kichwa kichwaChangamoto Za Dodoma Ni Nyingi Sana
Ukiamua kufanya na system hakikisha unafuata vigezo na masharti. Tofauti na hapo utapotezwa na hakuna hata mfupa wako utakaoonekana.Anajiongezaje anaacha wallet inapesa nyingi pamoja na kadi ya benki mpaka vitambulisho vya bima ya Afya? Sizani!! Pia siku walipokuja kutoa vitu vyake ndugu zake walidai kukuta mpaka vyeti vyake vyote vya shule.
Watu wanapotea kila siku,huo mji wa serikali umejaa mashushushu kibao,Kama huyu Askali alikuwa anafanya ujasusi kwa niaba ya nchi nyingine,ndio imetoka hiyo,Mh rais nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kukupa Afya njema na kuweza kutekeleza vyema majukumu yako ya kitaifa,mh rais Nina ombi maalum kwako kama mwananchi wako ambaye nimeguswa Sana na tukio la kupotea kwa askari polisi Emmanuelle Govella wa kituo kidogo cha mtumba mji wa kiserikali hapa Dodoma.
Mimi ni jirani hapa Nkuhungu Dodoma na Nyumba ambayo polisi huyu alikuwa amepanga siku ambayo ndugu wa huyo polisi walifika na polisi wa kituo Cha kati dodoma kuvunja mlango ili kujua kwanini askari huyo hapatikani muda mrefu nilikuwepo karibu.
Ilikuwa kati ya tarehe 19| 20 mwezi huu wa saba baada ya kuingia ndani walikuta simu ikiwa na laini zake zote Mbili lakini pia walikuta wallet yake ikiwa na vitambulisho vyake vyote mpaka kadi ya benki pamoja na fedha tasrimu sikujua kiasi gani, namba yake 0768243998 inaonyesha alikuwa hewani mala mwisho ni tarehe 26june hata ukiangalia WhatsApp inaonyesha hivyo mpaka siku wanabomoa kwake zilisha pita siku 24 Sasa Kuna maswali najiuliza ni kweli kwamba askari anapotea ZAIDI ya wiki 3 bila wenzake kujua?
Ombi langu kwako MH RAIS uunde kikosi maalum kichunguze upoteaji wa askari huyu Emmanuel govella Mpaka Leo hii nakutumia maombi haya ni takribani mwezi mmoja na siku 5 askari huyu hajaonekana ,nakutakia majukumu mema na Mwenyezi Mungu akutangulie.
Potea mkuu usisahau kuleta mrejesho ili namimi nipoteeKama mpka polisi wanapotea mimi ni nani nisipotee
Nani kaniuliza?Uliulizwa ulikuwepo ndani wakati wa upekuzi ukawa unakosa jibu alafu sasa unaeleza pochi ilikuwa na pesa mingi umeshuhudia au hadithi umepewa? Mimi nipo 4 ways hapa nakuja maeneo ya chama tukutane njiani unipe abc coz utasaidia Polisi bro nitakusindikiza
Unajitoa mwenyewe, unadhani Askari officer WA nyota mbili anawezaje kupotea kienyeji hivo, zingatia maelezo hapo juu alikuwa mkuu wa Kituo fulani,alikuwa hapendelei kuvaa uniform akienda kazini badala yake alikuwa akibeba begi jeusi mgongoni, jiulize Kwa nini alikuwa anaficha identity? Defenitly was an agent undercover, jiulize Askari wa level officer commanding station anawezaje kupotea polisi wasitoe tamko mpaka ndg zake ndo wamtafute? Anzia hapo kujiuliza kama alivuruga mission huyo ndo umsahau, formula ni moja tu kwamba if the law doesn't work, Eliminate.Usitutoe kwenye njia hakuna system inayofanya kazi kienyeji kwa kiwango hicho mkuu.
God forbidMay be he has gone.
hapana hapo kuna kimchezo kimechezeka inavyoonekana.Kama mpka polisi wanapotea mimi ni nani nisipotee
Nafkiri mimi na wewe wote hatujui ZAIDI ya kubashiri ndiyo maana nikaomba mamlaka zifanye uchunguzi tupate ripoti ya kweli.Unajitoa mwenyewe, unadhani Askari officer WA nyota mbili anawezaje kupotea kienyeji hivo, zingatia maelezo hapo juu alikuwa mkuu wa Kituo fulani,alikuwa hapendelei kuvaa uniform akienda kazini badala yake alikuwa akibeba begi jeusi mgongoni, jiulize Kwa nini alikuwa anaficha identity? Defenitly was an agent undercover, jiulize Askari wa level officer commanding station anawezaje kupotea polisi wasitoe tamko mpaka ndg zake ndo wamtafute? Anzia hapo kujiuliza kama alivuruga mission huyo ndo umsahau, formula ni moja tu kwamba if the law doesn't work, Eliminate.
Huwa wanapotezwa milele au kuna muda ukifika wanaachiwa?Unajitoa mwenyewe, unadhani Askari officer WA nyota mbili anawezaje kupotea kienyeji hivo, zingatia maelezo hapo juu alikuwa mkuu wa Kituo fulani,alikuwa hapendelei kuvaa uniform akienda kazini badala yake alikuwa akibeba begi jeusi mgongoni, jiulize Kwa nini alikuwa anaficha identity? Defenitly was an agent undercover, jiulize Askari wa level officer commanding station anawezaje kupotea polisi wasitoe tamko mpaka ndg zake ndo wamtafute? Anzia hapo kujiuliza kama alivuruga mission huyo ndo umsahau, formula ni moja tu kwamba if the law doesn't work, Eliminate.