Mamlaka naomba iunde kikosi maalumu kichunguze tukio la kupotea kwa Askari Emmanuelle Govella

Uliulizwa ulikuwepo ndani wakati wa upekuzi ukawa unakosa jibu alafu sasa unaeleza pochi ilikuwa na pesa mingi umeshuhudia au hadithi umepewa? Mimi nipo 4 ways hapa nakuja maeneo ya chama tukutane njiani unipe abc coz utasaidia Polisi bro nitakusindikiza
Anajiongezaje anaacha wallet inapesa nyingi pamoja na kadi ya benki mpaka vitambulisho vya bima ya Afya? Sizani
 
Anajiongezaje anaacha wallet inapesa nyingi pamoja na kadi ya benki mpaka vitambulisho vya bima ya Afya? Sizani!! Pia siku walipokuja kutoa vitu vyake ndugu zake walidai kukuta mpaka vyeti vyake vyote vya shule.
Ukiamua kufanya na system hakikisha unafuata vigezo na masharti. Tofauti na hapo utapotezwa na hakuna hata mfupa wako utakaoonekana.
 
Mh rais nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kukupa Afya njema na kuweza kutekeleza vyema majukumu yako ya kitaifa,mh rais Nina ombi maalum kwako kama mwananchi wako ambaye nimeguswa Sana na tukio la kupotea kwa askari polisi Emmanuelle Govella wa kituo kidogo cha mtumba mji wa kiserikali hapa Dodoma.

Mimi ni jirani hapa Nkuhungu Dodoma na Nyumba ambayo polisi huyu alikuwa amepanga siku ambayo ndugu wa huyo polisi walifika na polisi wa kituo Cha kati dodoma kuvunja mlango ili kujua kwanini askari huyo hapatikani muda mrefu nilikuwepo karibu.

Ilikuwa kati ya tarehe 19| 20 mwezi huu wa saba baada ya kuingia ndani walikuta simu ikiwa na laini zake zote Mbili lakini pia walikuta wallet yake ikiwa na vitambulisho vyake vyote mpaka kadi ya benki pamoja na fedha tasrimu sikujua kiasi gani, namba yake 0768243998 inaonyesha alikuwa hewani mala mwisho ni tarehe 26june hata ukiangalia WhatsApp inaonyesha hivyo mpaka siku wanabomoa kwake zilisha pita siku 24 Sasa Kuna maswali najiuliza ni kweli kwamba askari anapotea ZAIDI ya wiki 3 bila wenzake kujua?

Ombi langu kwako MH RAIS uunde kikosi maalum kichunguze upoteaji wa askari huyu Emmanuel govella Mpaka Leo hii nakutumia maombi haya ni takribani mwezi mmoja na siku 5 askari huyu hajaonekana ,nakutakia majukumu mema na Mwenyezi Mungu akutangulie.
Watu wanapotea kila siku,huo mji wa serikali umejaa mashushushu kibao,Kama huyu Askali alikuwa anafanya ujasusi kwa niaba ya nchi nyingine,ndio imetoka hiyo,
 
Ukiamua kufanya na system hakikisha unafuata vigezo na masharti. Tofauti na hapo utapotezwa na hakuna hata mfupa wako utakaoonekana.
Usitutoe kwenye njia hakuna system inayofanya kazi kienyeji kwa kiwango hicho mkuu.
 
Uliulizwa ulikuwepo ndani wakati wa upekuzi ukawa unakosa jibu alafu sasa unaeleza pochi ilikuwa na pesa mingi umeshuhudia au hadithi umepewa? Mimi nipo 4 ways hapa nakuja maeneo ya chama tukutane njiani unipe abc coz utasaidia Polisi bro nitakusindikiza
Nani kaniuliza?
 
Usitutoe kwenye njia hakuna system inayofanya kazi kienyeji kwa kiwango hicho mkuu.
Unajitoa mwenyewe, unadhani Askari officer WA nyota mbili anawezaje kupotea kienyeji hivo, zingatia maelezo hapo juu alikuwa mkuu wa Kituo fulani,alikuwa hapendelei kuvaa uniform akienda kazini badala yake alikuwa akibeba begi jeusi mgongoni, jiulize Kwa nini alikuwa anaficha identity? Defenitly was an agent undercover, jiulize Askari wa level officer commanding station anawezaje kupotea polisi wasitoe tamko mpaka ndg zake ndo wamtafute? Anzia hapo kujiuliza kama alivuruga mission huyo ndo umsahau, formula ni moja tu kwamba if the law doesn't work, Eliminate.
 
Kama mpka polisi wanapotea mimi ni nani nisipotee
hapana hapo kuna kimchezo kimechezeka inavyoonekana.
vinginevyo askari wenzake wangepiga makelele nchi nzima tungejua.
Ukiona wapo kimya ujue wanajua aliko.
Ukiwa mkuu wa kituo ni mtihani sana hasa pale unapotaka kutenda haki,kuna polisi wa chini yako ambao ni wakongwe wa madili wanakuangalia wewe,kuna wakuu wa polisi wilaya wanakuangalia wewe

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Unajitoa mwenyewe, unadhani Askari officer WA nyota mbili anawezaje kupotea kienyeji hivo, zingatia maelezo hapo juu alikuwa mkuu wa Kituo fulani,alikuwa hapendelei kuvaa uniform akienda kazini badala yake alikuwa akibeba begi jeusi mgongoni, jiulize Kwa nini alikuwa anaficha identity? Defenitly was an agent undercover, jiulize Askari wa level officer commanding station anawezaje kupotea polisi wasitoe tamko mpaka ndg zake ndo wamtafute? Anzia hapo kujiuliza kama alivuruga mission huyo ndo umsahau, formula ni moja tu kwamba if the law doesn't work, Eliminate.
Nafkiri mimi na wewe wote hatujui ZAIDI ya kubashiri ndiyo maana nikaomba mamlaka zifanye uchunguzi tupate ripoti ya kweli.
 
Unajitoa mwenyewe, unadhani Askari officer WA nyota mbili anawezaje kupotea kienyeji hivo, zingatia maelezo hapo juu alikuwa mkuu wa Kituo fulani,alikuwa hapendelei kuvaa uniform akienda kazini badala yake alikuwa akibeba begi jeusi mgongoni, jiulize Kwa nini alikuwa anaficha identity? Defenitly was an agent undercover, jiulize Askari wa level officer commanding station anawezaje kupotea polisi wasitoe tamko mpaka ndg zake ndo wamtafute? Anzia hapo kujiuliza kama alivuruga mission huyo ndo umsahau, formula ni moja tu kwamba if the law doesn't work, Eliminate.
Huwa wanapotezwa milele au kuna muda ukifika wanaachiwa?

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom