Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,568
Salaam Wadau,
Nimekuwa nikikutana na barabara mbovu mitaa mingi katika sehemu ninazoishi. Kunaweza kutokea sehemu Kuna dimbwi kubwa au korongo ambalo linaleta changamoto kwa wapitanjia au wenye magari.
Kwa mtaa ninaoishi imekuwa busara tu ya wanakikiji kumwaga vifusi au kuweka mawe ili kurahisisha uvukaji wa maeneo Mbalimbali.
Je, ni mamlaka au viongozi wa ngazi gani hasa wanapaswa kuwajibika kurekebisha barabara za mitaani ambazo si lami?
Nimekuwa nikikutana na barabara mbovu mitaa mingi katika sehemu ninazoishi. Kunaweza kutokea sehemu Kuna dimbwi kubwa au korongo ambalo linaleta changamoto kwa wapitanjia au wenye magari.
Kwa mtaa ninaoishi imekuwa busara tu ya wanakikiji kumwaga vifusi au kuweka mawe ili kurahisisha uvukaji wa maeneo Mbalimbali.
Je, ni mamlaka au viongozi wa ngazi gani hasa wanapaswa kuwajibika kurekebisha barabara za mitaani ambazo si lami?