Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Katika mji mkuu unaodhibitiwa na kundi la kigaidi la Houthi unaojulikana kama Sana'a, mamilioni ya raia wa Yemen (Yemenis) wajitokeza kuandamana kupinga mashambulizi dhidi ya kundi la Houthi.
Kundi la Houthi limeripotiwa kufanya mashambulizi ya mara kwa mara katika Meli zinazopita katika Mwambao huo wa Ukanda wa Bahari ya Sham, kupelekea meli nyingi kusitisha safari katika bahari hiyo na kupelekea kukwamisha biashara ya usafirishaji wa bidhaa mbalimbali.
Kundi la Houthi linafadhiliwa na nchi ya Iran. Na kundi hilo limekuwa likifanya mashambulizi ya hovyo kwenda nchi ya Israel na meli zinazokatiza bahari ya sham kama njia ya kulisaidia kundi la Hamas la nchini Palestina.
View: https://www.instagram.com/reel/C2AqGYUtTq5/?igsh=MXZhM2xubzY0OHR0aw==
Kundi la Houthi limeripotiwa kufanya mashambulizi ya mara kwa mara katika Meli zinazopita katika Mwambao huo wa Ukanda wa Bahari ya Sham, kupelekea meli nyingi kusitisha safari katika bahari hiyo na kupelekea kukwamisha biashara ya usafirishaji wa bidhaa mbalimbali.
Kundi la Houthi linafadhiliwa na nchi ya Iran. Na kundi hilo limekuwa likifanya mashambulizi ya hovyo kwenda nchi ya Israel na meli zinazokatiza bahari ya sham kama njia ya kulisaidia kundi la Hamas la nchini Palestina.
View: https://www.instagram.com/reel/C2AqGYUtTq5/?igsh=MXZhM2xubzY0OHR0aw==