Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Mie naomba nifundishwe jinsi ya kutengeneza pilipili/chachandu, (sijui ndio inaitwa achali).. plzzzz anaejua anipe recipe!
Suala lako halijaeleweka......unataka ufundishwe kutengeneza pilipili au achari? Hivyo ni vitu tofauti