The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Mmh mi chai ya maziwa situmii ila napenda kuipika inavyopendezaga rangi naharufu!!!Weeee vitumbua na maharage pmoja vinashuka???!
yaani maharage na vitumbua usipime
halafu vanilla kwenye chai,hata ya rangi....acha kabisa