Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Natamani ningekuwepo huko Unyamwezini.
Hoyaaaa,
Kuna watu wanabisha kuwa baskweli ya Mkjj ni fake, wale ambao hawaijui sauti ya umeme ya FMES, wale ambao hawakumbuki kuwa Mkandara alikuwa moja ya entertainers bingwa bongo, wale ambao kwa muda mrefu wametaka kukutana na my in - law Nyani Ngabu.
Hoyaaa,
Wale ambao wamekuwa wanamsikia yule mtayarishaji na mrushaji wa vipindi vikali kabisa vya bongoradio - mazee GQ, wale ambao wametaka kukutana na mwalimu AbTitchaz, vipi wale ambao wanataka kumuona mchungaji akiruka majoka. Na vipi wale ambao wanataka kukutana na mwafrika mwenye pumba lakini moto mkali wenye kiherehere cha kike.
Hoyaaa,
Ukitaka kuona Ngabu akicheza na two sisterz kwa mpigo, ukitaka kumuona Mkjj akirusha mambo live, ukitaka kukutana na watanzania na wana JF kibao ambao watapanga mikakati ya kuendeleza JF na klhnews. Ukitaka kukutana na Kuhani mkuu na cousin yake Pundit kujifunza lugha, labda unataka kujua matatizo yako kiafya toka kwa dakitari bingwa jina lako ni langu (YNIM)
Mambo yote ni Columbus - Ohio weekend ijayo. Panga kuwepo kwani baada ya hapo hutasita kuendelea kufurahia maisha yako kuliko vile unavyostahili - By Nyani Ngabu.
Thanks!
Mods, kutokana na umuhimu na uzito wa kinaelekea kufanyika, naomba nitumie hii ijumaa kupigia debe hii bash ya Ohio na umuhimu wake kwa wana JF.
Mkuu acha kusema hovyo, kwenda Columbus kuna husiana vipi na location za watu wa JF wanapoishi? Hivi hii forum mbona ina vichwa vya ajabu? Hivi kina Andrew Young na Jesse Jackson walipokwenda Sullivan kule Arusha, ilikuwawaje ina maana wanaishi bongo? Wakuu msiwe mnakurupuka,
Tema mate chini!
Mambo yote ni Columbus - Ohio weekend ijayo. Panga kuwepo kwani baada ya hapo hutasita kuendelea kufurahia maisha yako kuliko vile unavyostahili - By Nyani Ngabu.
Wacha bwana...................
Haya waungwana kuleni maisha,kazi na dawa.
Natamani ningekuwepo huko Unyamwezini.
Ize ize ize.... bado hujachelewa mkulu, una wiki moja ya kufanya maandalizi.
Ninapata taarifa kuwa kuna kundi kubwa toka UK linaingiza timu Columbus. Yaani asiye na mwana atapewa a black barbie....... kulea.
Moja ya nafasi ambazo zinazotokea mara moja kwa karne.... na wale ambao ni wa new school..... msiwe na wasiwasi....kutakuwa na ngwasuma la kutosha tu toka kwa the best DJ's in town.....
Bila kusahau ule mkutano kabambe wa kupanga mikakati ya kuendeleza JF na KLHNEWS....
je niseme zaidi?
Miye sitacheza mbali na Nyama Choma huku nikishushia na rum.......kukata kata mafuta
Nina hasira mkuu unajua bado sijapata usafiri wa kuunganisha, lakini I am working on it!
Miye sitacheza mbali na Nyama Choma huku nikishushia na rum.......kukata kata mafuta
Mkulu hilo natumaini halitakuwa tatizo kubwa sana... the gang inakuombea ufanikiwe kuwa ndani ya nyumba on time.
Sitemi.........mpaka uniambie why.....Kwanini..?