Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
...kuhani usijali, TGIF mkuu.... lolSikupati mtu wangu...
...kuhani usijali, TGIF mkuu.... lolSikupati mtu wangu...
Aisee itakuwa bomba sana kukutana na watu wa JF.
lol hahahahahahahha nitabeba na booty-o-meters kibao maana nasikia mambo itakuwa mambo.Mazee utatua na HSE nini?
Aisee itakuwa bomba sana kukutana na watu wa JF.
lol hahahahahahahha nitabeba na booty-o-meters kibao maana nasikia mambo itakuwa mambo.
...ukiachilia mbali mambo ya kufuta jasho kwa harakati zilizotendeka so far, meeting hii ni kuleta mshikamano wenye personal touch katika hizi harakati na focus ya 2010!!
...they did it, we can do it, yes we can!!
Yeah...I'm crazy about legs and cantaloupes....and lil sis got both...hhmm...hhmmm....Mwanakijiji is gonna fall off his wheelchair....Lol
Aisee itakuwa bomba sana kukutana na watu wa JF.
Kweli GQ....
I cant wait kuona hii ikitokea......
Itakuwa soo pale itakapotokea wenye bifu zao hapa JF watakapokunjana hahahaha.
Kwa sisi tulio bongo tunaweza pataje viza na kuja kujichanganya na nyinyi? Maana ningependa kuruka majoka ya "Maiko jakisoni njoo, sitakiiiiiiiiii...." na mwafrika wa kike.
Itakuwa soo pale itakapotokea wenye bifu zao hapa JF watakapokunjana hahahaha.
ohhh jamani,
kwa walioko bongo... kuna arusi ya mdogo wetu Maxence (the best geek in town) inakuja mwezi wa nane... itakuwa ni wakati mzuri wa kukutana huko na kuruka majoka... membaz kibao wa JF wanapanga kuwepo huko pia.
Duh! wenye bifu wakikutana itakuwa bomba sana....lakini sidhani kama watakunjana....nadhani wakitambulishana wataishia kucheka na kuwa washikaji.....but I could be wrong.
...yes Ngabu, Nyama Hatari will blow ya head off with his "water pistol"...
ktk maandalizi itabidi ununue buti mbele nondo, Nyama hatari akileta za kuleta, unampa madochi ya ugoko!! LOL.