TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Hivyo hivyoVipi kama unaishi kwa shemeji..?
5.Kama unakaa ukweni kwa baba mkwe inabidi uwe mpole sana utoe support ya chakula, pesa ndogo ndogo na matatizo madogo unamaliza tu, hakikisha humpigi mkeo wala kumsema sema hata kama anatoka na madanga mengne
hayaja kukuta bado tuulize sie tunaekaa ukweni mwaka wa tano huu sasa tunadunda tu kwa baba mkwe msosi wa draft show kali😂😂😂Bora kuishi mwituni lakini sio ukweni aisee
Mnaenda kuishi kwa wazazi wa mkeo ,haujaelewa nini boss mbona vitu vya kawaida sana hvyoSijakuelewa yaani mfano umeoa, halafu wewe na mkeo mnakwenda kuishi kwa wazazi wake?!
Au ulimaanishaje ulipo sema kuishi ukweni?!
Shemeji ni kama ndugu taratibu za kufuata ni zile zile amka mapema osha vyombo,fua nguo za shemeji yaani kuwa mpole na mwenye heshima usitake kuleta ubishi ooh siwezi fua nguo za shemeji itaku cost bro!Vipi kama unaishi kwa shemeji..?
Wewe kwa maswali yako hayo inonyesha hata wiki hauwezi maliza ukiishi kwa ndugu ,sigara ushaambiwa ni hatari kwa afya ss ww unaatarisha maisha yako hiyo tabia ni mbaya .Unatakiwa uvutie huko mitaa ukija ndani huwe umetafuna pipi kali za kutosha mdomo usinuke.Kwahiyo kuvuta sigara ni tabia mbaya?
Mpelekee maji ya kuoga bafuni. 😂🤣😂🤣Vipi kama unaishi kwa shemeji..?
Hehee dah..nikivuta nikila na pipi ni tabia nzuri..nisipokula pipi ni tabia mbaya...Wewe kwa maswali yako hayo inonyesha hata wiki hauwezi maliza ukiishi kwa ndugu ,sigara ushaambiwa ni hatari kwa afya ss ww unaatarisha maisha yako hiyo tabia ni mbaya .Unatakiwa uvutie huko mitaa ukija ndani huwe umetafuna pipi kali za kutosha mdomo usinuke.
Hao wakwe nao wanaozeshaje mtu mwenye tabia kama hizo dah.Habari wanajamvi..!
Leo nimeamua kuja na mada inayowahusu watu wanaoishi kwa ndugu,shemeji au ukweni.
Ndugu asikwambie mtu kuishi kwa ndugu baadhi kunaitaji huwe na kiwango cha hali ya juu cha hekima na busara la sivyo unatimuliwa haraka tu.
Mambo yanayopelekewa kutimuliwa
1.Tabia mbaya kama uvutaji bangi,sigara,milungi
2.Umalaya yaani tabia ya kuingiza mademu au wanaume wakati unajua hapo sio kwenu ,hata kama mtoto wa wa ndugu mwenye hiyo nyumba anaingiza ww unatakiwa usimuige.
3.Kukosa heshima kwa wale uliowakuta awe mkubwa au mdogo unatakiwa umuheshimu ss unakuta lijamaa linavimba linapigana mpk na waliomuita mjini hapa utatimuliwa tu hata kama yeye ndio mwenye makosa.
4.Unatakiwa ujiongeze kama ukipiga hela kidogo unatakiwa uchangie msosi au vitu vidogo vidogo huwe unamaliza mwenyewe sio mradi upo kwa baba mdogo au mama mdogo au shemeji unakuwa tegemezi kwa kila kitu hata ukifanya kibarua ukipiga hela unataka chako kiwe chako tu.
5.Kama unakaa ukweni kwa baba mkwe inabidi uwe mpole sana utoe support ya chakula, pesa ndogo ndogo na matatizo madogo unamaliza tu, hakikisha humpigi mkeo wala kumsema sema hata kama anatoka na madanga mengne.
5.Ukiwa unaishi kwa ndugu usipende sifa sana jaribu kuwa mpole.
Mwanaume ukiishi Kwa Baba Mkwe hata siku akitaka kukulawiti unapaswa kumkubalia..
Maana wewe hapo ndiye utakuwa umeolewa, hujaoa..!!
hayaja kukuta bado tuulize sie tunaekaa ukweni mwaka wa tano huu sasa tunadunda tu kwa baba mkwe msosi wa draft show kali