TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,973
- 15,310
Dah aisee ukute shemeji mwenyewe ka mimi Mzee Wa tungi,nikipiga makonyagi yangu nasimamia show hatari,kesho asubuhi sijui mtaangaliana Vipi na dadako.
Kwa shemeji sio sehemu salama kuishi.
Niseme ukweli mi nimewahi kuishi kwa shemeji yangu kama mwezi hivi. Ni kwamba nilikua nimepata kazi mkoa ambao wao wanaishi na sikua na pa kufikia. Aisee niliishi pale kwa huzuni sana. Mshahara wa kwanza nikanunua godoro tu, na kulipa kodi ya chumba nikahama!