Mambo yanayopelekea watu wengi kushindwa kuishi kwa ndugu au ukweni na baadaye kutimuliwa

Dah aisee ukute shemeji mwenyewe ka mimi Mzee Wa tungi,nikipiga makonyagi yangu nasimamia show hatari,kesho asubuhi sijui mtaangaliana Vipi na dadako.

Kwa shemeji sio sehemu salama kuishi.

Niseme ukweli mi nimewahi kuishi kwa shemeji yangu kama mwezi hivi. Ni kwamba nilikua nimepata kazi mkoa ambao wao wanaishi na sikua na pa kufikia. Aisee niliishi pale kwa huzuni sana. Mshahara wa kwanza nikanunua godoro tu, na kulipa kodi ya chumba nikahama!
 
6. Majungu na uchonganishi kutunga maneno ya umbea kwa ndugu jamaa majirani mradi kupaka matope wanaokjsitiri

7. Dharau kwa mama mwenye mji...hii wanayo ndugu wa mume...kujifanya wao ndio wamiliki na wenye maamuzi

8. Kuharibu wasichana wa kazi na kuwatia kiburi....


9. Uvivuuuuuuuuuuuuu husaidii hata kufagia uwanja!!!
 
Pamoja na hayo mkuu kama unaishi kwa mume wa dada yako inabidi uende mbali zaidi. Mfano ukisikia wanagombana usiku wewe inabidi uzame kwenye maombi kumuombea dada yako Mungu ampe moyo wa uvumilivu maana mfano ndio umuone anaanza kutoa mabegi sijui wewe utakua katika hali gani?
 
Habari wanajamvi..!

Leo nimeamua kuja na mada inayowahusu watu wanaoishi kwa ndugu, shemeji au ukweni.

Ndugu asikwambie mtu kuishi kwa ndugu baadhi kunaitaji huwe na kiwango cha hali ya juu cha hekima na busara la sivyo unatimuliwa haraka tu.

Mambo yanayopelekewa kutimuliwa

1. Tabia mbaya kama uvutaji bangi, sigara, milungi na ulevi wa pombe au madawa ya kulevya.

2. Umalaya yaani tabia ya kuingiza mademu au wanaume wakati unajua hapo sio kwenu, hata kama mtoto wa wa ndugu mwenye hiyo nyumba anaingiza ww unatakiwa usimuige.

3. Kukosa heshima kwa wale uliowakuta awe mkubwa au mdogo unatakiwa umuheshimu ss unakuta lijamaa linavimba linapigana mpk na waliomuita mjini hapa utatimuliwa tu hata kama yeye ndio mwenye makosa.

4. Unatakiwa ujiongeze kama ukipiga hela kidogo unatakiwa uchangie msosi au vitu vidogo vidogo huwe unamaliza mwenyewe sio mradi upo kwa baba mdogo au mama mdogo au shemeji unakuwa tegemezi kwa kila kitu hata ukifanya kibarua ukipiga hela unataka chako kiwe chako tu.

5. Kama unakaa ukweni kwa baba mkwe inabidi uwe mpole sana utoe support ya chakula, pesa ndogo ndogo na matatizo madogo unamaliza tu, hakikisha humpigi mkeo wala kumsema sema hata kama anatoka na madanga mengne.

5. Ukiwa unaishi kwa ndugu usipende sifa sana jaribu kuwa mpole.
Tusiende mbali kwanza unaanzaje kuishi ukweni... Seriously!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niseme ukweli mi nimewahi kuishi kwa shemeji yangu kama mwezi hivi. Ni kwamba nilikua nimepata kazi mkoa ambao wao wanaishi na sikua na pa kufikia. Aisee niliishi pale kwa huzuni sana. Mshahara wa kwanza nikanunua godoro tu, na kulipa kodi ya chumba nikahama!
Safi mkuu,hapa naona wanaongelewa wale wanaolikita kwa Shem kwa.maana ya kwenda kuishi hapo.
 
Habari wanajamvi..!

Leo nimeamua kuja na mada inayowahusu watu wanaoishi kwa ndugu, shemeji au ukweni.

Ndugu asikwambie mtu kuishi kwa ndugu baadhi kunaitaji huwe na kiwango cha hali ya juu cha hekima na busara la sivyo unatimuliwa haraka tu.

Mambo yanayopelekewa kutimuliwa

1. Tabia mbaya kama uvutaji bangi, sigara, milungi na ulevi wa pombe au madawa ya kulevya.

2. Umalaya yaani tabia ya kuingiza mademu au wanaume wakati unajua hapo sio kwenu, hata kama mtoto wa wa ndugu mwenye hiyo nyumba anaingiza ww unatakiwa usimuige.

3. Kukosa heshima kwa wale uliowakuta awe mkubwa au mdogo unatakiwa umuheshimu ss unakuta lijamaa linavimba linapigana mpk na waliomuita mjini hapa utatimuliwa tu hata kama yeye ndio mwenye makosa.

4. Unatakiwa ujiongeze kama ukipiga hela kidogo unatakiwa uchangie msosi au vitu vidogo vidogo huwe unamaliza mwenyewe sio mradi upo kwa baba mdogo au mama mdogo au shemeji unakuwa tegemezi kwa kila kitu hata ukifanya kibarua ukipiga hela unataka chako kiwe chako tu.

5. Kama unakaa ukweni kwa baba mkwe inabidi uwe mpole sana utoe support ya chakula, pesa ndogo ndogo na matatizo madogo unamaliza tu, hakikisha humpigi mkeo wala kumsema sema hata kama anatoka na madanga mengne.

5. Ukiwa unaishi kwa ndugu usipende sifa sana jaribu kuwa mpole.
Hivi mwanaume mzima na makend yake kweli anaweza kukaa ukweni na kuishi huko kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bwana kwakuwa huwa napenda uhuru, ninaepuka sana kukaa kwa watu. Ninapenda kuwa huru, nirudi home muda ninaotaka,nile ninachotaka, niamke muda ninaotaka, nidinye demu wangu kwa mastaili na muda ninaoutaka n.k. Sasa ukiwa kwa mtu hasa majumba yetu ya uswazi, mastaili kama popo kanyea mbingu, kupanda dirishani na kuiangukia si balaa hilo? Utasababisha hata chabo.
Mkuu kwani ni lazima mpaka upande dirishani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom