Sasa hivi katika Ile posting nyingine anauliza kwa nini watu wa Kilimanjaro ni corrupt?(Kama kweli ni corrupt takwimu tu ndio zinaweza kusema).
Nilikuwa Marangu kwenye Guest House nasubiri kwenda kupanda Mlima. Nilikuwa nasikiliza redio( yangu) chumbani. Ilikuwa hii redio stesheni ya Kimarekani inahubiri Injili,nadhani yule aliyekuwa anaongea alikuwa Ni Padre. Alikuwa anaongea,akainukuu hiyo verse hapo juu,akaendelea kwa kusema,"Unaona basi? Kama ukilala naue ksma unavyofanya na mwanamke ndio makosa. Lakini ukimtafuna mwanaume kwa njia nyingine,hakuna kosa" Akawa anaendelea kuongea,"Fikiria ule mstari kabla ya hapo imeandikwa nini,( huo mstari kabla sijui umeandikwa nini)halafu ndio utaielewa hii verse vizuri zaidi. Hakuna kosa kumtafuna mwanaume,lakini usimlaze kitandani kama unavyofanya mwanamke. "
Haya ndiyo mahubiri niliyoyasikia pale from this very,very calm priest. Ain't that something?