Nashauri vyama vya upinzani kuamka na kuanza kuandaa nguvu ya kupambana na ccm.
Huku mitaani nimeona viongozi wanaotokana na ccm wanaandaa vikundi vya ulinzi na usalama kama maandalizi ya uchaguzi ujao. CCM Imeandaa Green guards na chipukizi.
CUF kulikuwa na Blue Guard, nawashauri muifufue na majambia wajue kuyatumia.
ACT njooni kivingine. Anzisheni Kikundi cha ulinzi na usalama kwa jina lolote lile.. mm napendekeza kiitwe "Nchi ni yetu sote"
CHAUMA nina taarifa zenu kwamba mnaanzisha Kikundi chenye jina la "Hakuna kulala". Vizuri sana.
Chadema, bila shaka "Red Brigades" iko tayari.
Kwenye uchaguzi wa mwakani na uchaguzi mkuu wa 2025 kama mbwai na iwe mbwal.
Huku mitaani nimeona viongozi wanaotokana na ccm wanaandaa vikundi vya ulinzi na usalama kama maandalizi ya uchaguzi ujao. CCM Imeandaa Green guards na chipukizi.
CUF kulikuwa na Blue Guard, nawashauri muifufue na majambia wajue kuyatumia.
ACT njooni kivingine. Anzisheni Kikundi cha ulinzi na usalama kwa jina lolote lile.. mm napendekeza kiitwe "Nchi ni yetu sote"
CHAUMA nina taarifa zenu kwamba mnaanzisha Kikundi chenye jina la "Hakuna kulala". Vizuri sana.
Chadema, bila shaka "Red Brigades" iko tayari.
Kwenye uchaguzi wa mwakani na uchaguzi mkuu wa 2025 kama mbwai na iwe mbwal.