mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,651
- 18,021
Katika sura yote ya 18 ya kitabu cha mambo ya Walawi kwenye Biblia, Mungu amekataza mambo machafu yahusianayo na ngono ikiwemo kuoana na ndugu wa karibu, ikiwemo pia kulala na wanyama.
Uzi huu ni kumbushio maalumu juu ya unajisi utokanao na ushoga. Uchafu wa mambo hayo HUINAJISI NCHI, hata nchi hiyo hutapika wenyeji wake na kuwatoa. Mambo ya walawi 18:25 "Na hiyo nchi imekuwa najisi kwa ajili ya hayo naipatiliza uovu wake juu yake na hiyo nchi yatapika wenyeji wake na kuwatoa".
Watanzania Mungu ametupa nchi nzuri sana yenye utajiri mwingi mno wa mali asili, tujiepushe na kuinajisi isije ikatutapika (tukabaki maskini kwenye nchi iliyo tajiri). Tutubu na Mungu atusamehe, maana kwenye hii nchi matendo machafu ya ushoga yapo, japo hasa upande wa mwambao wa bahari kutokana na athari ya Waarabu.
Tusiyaonee aibu bali tuyakemee kwa nguvu zote na tuwafundishe watoto wetu wasijiingize kwenye uovu huu. Vinginevyo watoto wetu watadhani ni mambo ya kawaida kama ilivyo kwa nchi za Magharibi!
Uzi huu ni kumbushio maalumu juu ya unajisi utokanao na ushoga. Uchafu wa mambo hayo HUINAJISI NCHI, hata nchi hiyo hutapika wenyeji wake na kuwatoa. Mambo ya walawi 18:25 "Na hiyo nchi imekuwa najisi kwa ajili ya hayo naipatiliza uovu wake juu yake na hiyo nchi yatapika wenyeji wake na kuwatoa".
Watanzania Mungu ametupa nchi nzuri sana yenye utajiri mwingi mno wa mali asili, tujiepushe na kuinajisi isije ikatutapika (tukabaki maskini kwenye nchi iliyo tajiri). Tutubu na Mungu atusamehe, maana kwenye hii nchi matendo machafu ya ushoga yapo, japo hasa upande wa mwambao wa bahari kutokana na athari ya Waarabu.
Tusiyaonee aibu bali tuyakemee kwa nguvu zote na tuwafundishe watoto wetu wasijiingize kwenye uovu huu. Vinginevyo watoto wetu watadhani ni mambo ya kawaida kama ilivyo kwa nchi za Magharibi!