Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
MTU mmoja aliota Ndoto anafanya mapenzi na Ng'ombe. Kuna watu pia wanafanya mapenzi katika mwili na wanyama kama mbuzi etc
Maana ya kutoa unafanya mapenzi na wanayama
A. Umevamiwa na Roho ya Mauti
Mambo ya Walawi 20:15
Tena mtu mume akilala na mnyama, hakika atauawa; nanyi mtamwua huyo mnyama.
B. Unaingizwa kwenye agano la kimiungu
Mambo ya Walawi 20:15,23
Nanyi msiende kwa kuziandama desturi za taifa, niitoayo mbele yenu; kwa kuwa wao waliyafanya mambo hayo yote, na kwa ajili ya hayo niliwachukia.
C. Unachafuliwa kiroho ili ukae mbali na Mungu
Mambo ya Walawi 18:23 Wala usilale na mnyama ye yote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni uchafuko.
D. Unapandikizwa laana
Kumbukumbu la Torati 27:21Na alaaniwe alalaye na mnyama wa aina yo yote. Na watu wote waseme, Amina.
Maana ya kutoa unafanya mapenzi na wanayama
A. Umevamiwa na Roho ya Mauti
Mambo ya Walawi 20:15
Tena mtu mume akilala na mnyama, hakika atauawa; nanyi mtamwua huyo mnyama.
B. Unaingizwa kwenye agano la kimiungu
Mambo ya Walawi 20:15,23
Nanyi msiende kwa kuziandama desturi za taifa, niitoayo mbele yenu; kwa kuwa wao waliyafanya mambo hayo yote, na kwa ajili ya hayo niliwachukia.
C. Unachafuliwa kiroho ili ukae mbali na Mungu
Mambo ya Walawi 18:23 Wala usilale na mnyama ye yote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni uchafuko.
D. Unapandikizwa laana
Kumbukumbu la Torati 27:21Na alaaniwe alalaye na mnyama wa aina yo yote. Na watu wote waseme, Amina.