mambo ya OBAMA

mambo ya OBAMA

Kaka anaomba jezi za mpira,

alijuwa na Obama ni mpuuzi kama akina bush ili wale dili la kuuza nchi.
8e9u9992.jpg
 
Unajua apo Obama amempa 1/3 ya ubongo wake JK afu 2/3 anafikiria solutions za issue za Americans na still wako on the same page na JK...OMG
 
;2247149]
8e9u9992.jpg
sasa hiyo risala/hotuba kashika ya nini.
jamni misaada mnayopata sio ya bure ndio hivo vingozi wenu wanaelezea matatizo shurti wayaandike kwenye karatasi kwa jinsi yalivyomengi..hapo kuna suala la tanesco pia..
 
JK je chumba hicho kingetosha? maana hata siku ya kuapishwa gharama za suti tu zilitutia bonde kwenye bajeti yetu, na bado kale kadogo kanakua kale alikopata karibuni kwa mama mkwe mshirazi sijui.
Viongozi wetu hata wakwe wanaingia na kuishi ikulu hukohuko, wanangojea safari za hija wakiwa ikulu taaaabuuuuu kwei kwei
 
hapo wanawatch soccer kombe la dunia la wanawake......kakaa na famila yake kwa kweli mengi ya kujifunza kwa picha hii.kaeni na familia zenu sio kila siku baaaaa

Kuangalia mpira na familia sio tatizo, tatizo huwa linakuja pale kila mtu anataka aangalie chanel yake, huyu anataka mpira huyu aangalie tamthiliya za kinavenezuela, hapo solution ni kukimbia bar fasta.
 
hapo wanawatch soccer kombe la dunia la wanawake......kakaa na famila yake kwa kweli mengi ya kujifunza kwa picha hii.kaeni na familia zenu sio kila siku baaaaa

Mwanamke nyumbani akiwa vuvuzela ni vigumu mwanaume kuacha baa yenye burudani sawia
 
Rais wa kwa nza kutoka Afrika kukaribishwa na Obama alipochukuwa madaraka.

Natamani hii sifa ingetuondolea japo mgao wa umeme na matatizo mengine kibao yanayotuzunguka wakati tuna kila resource ya kutuondoa kwenye hayo matatizo.
 
leen watoto..sio kisa eti mna uwezo basi watoto mnawatup bording........
 
Back
Top Bottom