Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,606
- 64,451
Kaka anaomba jezi za mpira,
alijuwa na Obama ni mpuuzi kama akina bush ili wale dili la kuuza nchi.
alijuwa na Obama ni mpuuzi kama akina bush ili wale dili la kuuza nchi.
Mzee unataka BAN? shauri yako,ngoja PawPaw aamke...Kaka anaomba jezi za mpira,
alijuwa na Obama ni mpuuzi kama akina bush ili wale dili la kuuza nchi.
Kaka anaomba jezi za mpira,
alijuwa na Obama ni mpuuzi kama akina bush ili wale dili la kuuza nchi.
Hata Zuma atakuwa amechoka kumpokea huyu jamaa this is too much ni basi afanyeje.
jamni misaada mnayopata sio ya bure ndio hivo vingozi wenu wanaelezea matatizo shurti wayaandike kwenye karatasi kwa jinsi yalivyomengi..hapo kuna suala la tanesco pia..;2247149]sasa hiyo risala/hotuba kashika ya nini.![]()
Raisi wa Kwanza Afrika kukutana na Obama White House!! Bonge la CV!!
Da Gama akiuza Chai.;2247149]sasa hiyo risala/hotuba kashika ya nini.![]()
hapo wanawatch soccer kombe la dunia la wanawake......kakaa na famila yake kwa kweli mengi ya kujifunza kwa picha hii.kaeni na familia zenu sio kila siku baaaaa
hapo wanawatch soccer kombe la dunia la wanawake......kakaa na famila yake kwa kweli mengi ya kujifunza kwa picha hii.kaeni na familia zenu sio kila siku baaaaa
Rais wa kwa nza kutoka Afrika kukaribishwa na Obama alipochukuwa madaraka.