Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,930
Hapa inaonesha JK alikuwa anachanganya past, present na future tense mpaka Obama haelewi na kubaki kumshangaa na kuanza kum-study jamaa kama kweli IQ hiko ya kutosha na kuwa na uhalali wa kuongoza nchi!!!