JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,328
- Thread starter
- #21
Hapa hata mimi nasubiri jibu
Ukiwa kwenye speed kubwa haishauriwi maana 2 na L ni low speed gears.
Hapa hata mimi nasubiri jibu
Nimekupata...japo umeibua swali lingine...bado nirudi kwenye maeneo ya milimani...kipi kizuri...kutumia break moja kwa moja au kutumia engine breaking...L na 2?Kutoka D kuja kwenye hizo 2 na L maana yake ni unatoka gearkubwa kuja gear ndogo. Kama upo katika speed kubwa ukibadili kuja 2 au L ni majanga na utakuwa unasaga vitu. Kama upo kwenye speed ndogo haina shida.
Pia kuna watu wanatumia 2 na L kama engine brake. Hiyo ni very risk.
Nimekupata...japo umeibua swali lingine...bado nirudi kwenye maeneo ya milimani...kipi kizuri...kutumia break moja kwa moja au kutumia engine breaking...L na 2?
Usiweke N ukiwa kwenye mteremko
HAPO SHIDA NI GEAR BOX YAKO NI CHAIN NA IMEKUFA KWA KUWEKA OIL AMBAYO SIO SAHIHI NDIO HUO MSTUKO UNATOKEA, MM IMENIKUTA HIYO NA NIMEFUNGUA NIMEKUTA GEAR BOX CHAIN IMEKATA KABISA, SHIDA NI OIL HAPO HUTUMII RECOMMENDED OIL
Usibadili gear gari inapokuwa inatembea.
Fafanua kidogo hapa mkuu
Hapana; Still kuna mazingira ambayo unaweza shift from D to L2 0r L kuendana na speed uliyopo!naomba uzingatie hilo.Na ndio maana hakuna sehemu nimetaja forward gear yoyote maana hizo ndio huwa zinabadilika automatic.
Mfano wa gear ambazo hazibadiliki automatic ni kutoka D kuja R, D kuja 2, D kuja L n.k. Hapa ndio hasa napaongelea.
And I have been doing it for number of times without problems and its advisable! L or L2 Ina speed range yake.ex.L2 Ina speed range up to 40km/hr in some cars-therefore ukiwa kwenye speed range ya up to 40km/hr unaweza shift from D to L2Hapana;Still kuna mazingira ambayo unaweza shift from D to L2 0r L kuendana na speed uliyopo!naomba uzingatie hilo.
Huwa natumia L kupanda milima mikali, kwenye matope na mchanga.And I have been doing it for number of times without problems and its advisable! L or L2 Ina speed range yake.ex.L2 Ina speed range up to 40km/hr in some cars-therefore ukiwa kwenye speed range ya up to 40km/hr unaweza shift from D to L2
Huwa natumia L kupanda milima mikali, kwenye matope na mchanga.
Zaidi ya hapo sijawahi itumia.
Hapana;Still kuna mazingira ambayo unaweza shift from D to L2 0r L kuendana na speed uliyopo!naomba uzingatie hilo.
And I have been doing it for number of times without problems and its advisable! L or L2 Ina speed range yake.ex.L2 Ina speed range up to 40km/hr in some cars-therefore ukiwa kwenye speed range ya up to 40km/hr unaweza shift from D to L2
Kanichanganya sana sana hapa na hii point yakeHapa hata mimi nasubiri jibu
Unamaanisha aondoe mguu kwenye accelerator ?Unamaanisha nini wakati gari inatembea. Husisha jibu lako na pedals ndo utaeleweka zaidi.Mfano shifting from D to R hapo umebadili gear. Sasa ukifanya hivo wakati gari inatembea unasaga vitu.
Unaweza weka R ila usiguse mafuta. Ukigusa umeharibu. Gari hai engage kwenye R kama umeiweka bahati mbaya na hujagusa pedeli ya mafuta.Mfano shifting from D to R hapo umebadili gear. Sasa ukifanya hivo wakati gari inatembea unasaga vitu.
Gear ya Kitonga hio!Usiweke N ukiwa kwenye mteremko