Hebu nifahamishe kidogo mkuu, when do switch from D to L or to L2 or D4 ..!
D ina optional gear nyingi from 1st,2nd,....6th nk. na speed range yake ni 0km-180km/hr,range ya speed inaweza kuwa more or less kwendana na limiter ya gari husika.
L ni gear kubwa equivalent to 1st gear kwenye manual transmission assuming range yake ni 0km/hr-20km/hr
L2 inategemea kwendana na gari husika,ina speed range yake let's say equivalent ya 2nd gear kwenye manual car assuming kwamba range yake ni 0km/hr to 40km/hr.
Ni wakati gari utumie range ipi inategemea na mazingira na uamuzi wa mtu binafsi
Mf.
*Kwenye vibao vya barabarani ambavyo speed limit ni 40km/hr-50km/hr wengine wana opt L2 ili kuweza kuendana na speed limit ya eneo husika na kuepuka kujisahau, kwenye hili wengine huwa makini kwenye acceleration na hutumia D tu ku control acceleration kwa kuongozwa na dashbord na mengineyo na kuondokana na karaha ya shifting.
*Kwenye eneo lenye utelezi na mteremko mkali naweza opt L ambayo itapunguza speed ya gari na kuzipunguzia brake pads stress kutokana na kusaidiwa na engine ambayo itakuwa inatoa some form of engine braking.
ECU haitaliruhusu gari ku roll zaid ya 20km/hr ikiwa kwenye L assuming limit yake ni up to 20km/hr.Lakini gari likiwa ni AWD or 4WD hutakuwa na sababu ya kuopt L ili kufanya matairi yasi sleep kwenye utelezi.
All ni all inategemea na mtu na mtu.