JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,328
Huu uzi nilitamani ningepata Automatic Gearbox mbovu nikaufanyia video. Kwa maana ninaamini kwa njia hiyo wote mngenielewa vizuri. Hata hivyo nitajitahidi kuelezea kwa kadri nitakavyoweza.
Hebu iangalie hii picha vizuri. Hii ni cross section ya Gearbox ya automatic. 99% gearbox za automatic zipo hivi. Iangalie vizuri Oil pump ipo tu baada ya Torque Converter.
Kwenye gearbox ukizima gari, Gearbox Oil inabakia maeneo mawili tu.
1. Kwenye torque converter.
2. Kwenye Sump ya Gearbox.
Sasa ipo hivi, unapovuta gari lenye automatic gearbox, engine inakuwa imezima, torque converter na Oil pump pia vinakuwa havizunguki. Hivi vitu huwa vinazunguka tu kama engine inazunguka.
Then Oil pump hazunguki, sehemu ya gearbox iliyobakia inazunguka bila Oil. Hivyo ni rahisi kuharibu gearbox.
Kuna baadhi ya gari mfano baadhi ya matoleo ya mercedes Benz gearbox inakuwa na secondary Oil pump na inakuwa na Tow mode(hii naomba isichanganywe na ile tow mode ya kuvuta trailer n.k.).
Hiyo secondary pump inakuwa activated utakapotaka kulivuta gari lako kwa ajili ya kusupply oil kwenye gearbox.
Ndio maana ukipata breakdown ushauri wa kwanza ita flatbed truck pakia au tow truck kama gari yako si AWD na mtanyanyua upande ambao ndio unadrive.
Na kama utaamua kuivuta gari yako basi fuata sheria hii.
1. Vuta kwa speed ndogo kwa kadri itakavyowezekana.
Hebu iangalie hii picha vizuri. Hii ni cross section ya Gearbox ya automatic. 99% gearbox za automatic zipo hivi. Iangalie vizuri Oil pump ipo tu baada ya Torque Converter.
Kwenye gearbox ukizima gari, Gearbox Oil inabakia maeneo mawili tu.
1. Kwenye torque converter.
2. Kwenye Sump ya Gearbox.
Sasa ipo hivi, unapovuta gari lenye automatic gearbox, engine inakuwa imezima, torque converter na Oil pump pia vinakuwa havizunguki. Hivi vitu huwa vinazunguka tu kama engine inazunguka.
Then Oil pump hazunguki, sehemu ya gearbox iliyobakia inazunguka bila Oil. Hivyo ni rahisi kuharibu gearbox.
Kuna baadhi ya gari mfano baadhi ya matoleo ya mercedes Benz gearbox inakuwa na secondary Oil pump na inakuwa na Tow mode(hii naomba isichanganywe na ile tow mode ya kuvuta trailer n.k.).
Hiyo secondary pump inakuwa activated utakapotaka kulivuta gari lako kwa ajili ya kusupply oil kwenye gearbox.
Ndio maana ukipata breakdown ushauri wa kwanza ita flatbed truck pakia au tow truck kama gari yako si AWD na mtanyanyua upande ambao ndio unadrive.
Na kama utaamua kuivuta gari yako basi fuata sheria hii.
1. Vuta kwa speed ndogo kwa kadri itakavyowezekana.