Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,397
- 191,507
Ila kutumia O/D Off hapo vipi? Maana mie nikitaka overatake on highway speeds lazma nifanye O/D Off kisha narudisha ON!Kuna post yangu nimelizungumzia hilo suala la speed.
Yes unaweza kubadili katika low speed Ila siyo upo 80kph halafu unatia 2 au L hapo utakuwa umedownshift pakubwa sana na lazima tu utapata majanga siku za mbeleni. Au unakuta kuna mwingine anataka kuitumia kama engine brake. Hii si sawa.
Gari inavuma ikirudi gear ya 3, ila nikiiwasha gear zinaenda 4-5 chap na wepesi unaongezeka maradufu sambamba na speed naikata gari kama imesimama.