donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Naona mambo ya Kundu.chi...hayo ShadeeyaSesten Zakazaka njoo unipe majina ya hawa Samaki mana mi nimeambulia kuwajua Tasi na wale C h a n g u tu hapo. 😀😀😀
Sesten Zakazaka njoo unipe majina ya hawa Samaki mana mi nimeambulia kuwajua Tasi na wale C h a n g u tu hapo.
Yule samaki mwenye miba mingi anayepewa mtoto wa kambo anaitwaje ??Naona mambo ya Kundu.chi...hayo Shadeeya
Wapajua huko? Majina ya samaki kuna kolekole, changu, pweza, ngisi, jodari,nguru papa, pono, tasi,chuchunge na majina mengine uje kule nikifundishe
Tangu jumatatu nna hamu ya samaki ila sijapata wasaa wa kumtengeneza. Napenda samaki nimkaange mwenyewe najipimia chumvi na ndimu.
Changu wa blue na wekundu ni watamu haooo....
Ngoja nipange safari ya Cape Town aka beach Matata.
Yule samaki mwenye miba mingi anayepewa mtoto wa kambo anaitwaje ??
Yabidi jamaani maana kukaa Bara imefanya niwajue samaki wa maji baridi tu hawa wengine inakuwa mtihani. 😀😀😀😀Naona mambo ya Kundu.chi...hayo Shadeeya
Wapajua huko? Majina ya samaki kuna kolekole, changu, pweza, ngisi, jodari,nguru papa, pono, tasi,chuchunge na majina mengine uje kule nikifundishe😃😃😃
Ndio huyo mwenye madoa ya blue?Kuna kole kole hapo
Ntakupa tuition ya aina na majina ya samaki wa bahariniYabidi jamaani maana kukaa Bara imefanya niwajue samaki wa maji baridi tu hawa wengine inakuwa mtihani. 😀😀😀😀
Hahahaa. Sawa Ses. 🙏🙏Ntakupa tuition ya aina na majina ya samaki wa baharini
Nawapenda wale fresh, wanakaangwa halafu unapata Ugali,mlenda Wa bamia na mtindi, my favorite.Mambo yote Dada ila kuna wale dagaa tunawaita uono hua wanakaangwa wanawauza kwa mafungu aisee ni balaa. Hua nawanunua hats wa buku 5 natafuna tu kwenye foleni njiani