The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
- Thread starter
- #41
Utashangazwa na mengi shemeji...........
Enzi zetu sie TV tulikuwa tunaiskia tu kwa wale waliowahi kutoka nje ya nchi, lakini siku hizi si TV tena tumeshapita huko dunia imekuwa kusanywa kiganjani na teknolojia, hata ukitaka kujua Rais Obama wa Marekani alikula nini jana waweza jua, seuzi hizo mitikasi za ngono na mbwembwe zake...!
Mkuu sisi waafrica tukisikia haya tunashangaa mno
lakini na wazungu pia wanashangaa mtu 'kubaka kitoto sababu mganga wa kienyeji'
au kutembea na mganga wa kienyeji au hili la kutembea na mchungaji huku unafanyishwa maombi lol
wote binadaadamu ni wa ajabu ..
sisi tunawashangaa na wao wanatushangaa lol