duuuuh?!Unalala na manzi kitandani then unamuuliza vp tufanye leo au kesho
We ni jipu
Safi sanaHautaki kusuuza kikombe kwa maji ya bafuni ukiamini ni uchafu wakati maji hayo hayo unatumia kupigia mswaki.
Una nawa bila sabuni unapotaka kula halafu unakuja kunawa na sabuni baada ya kula kwani ulikuwa unakula mavi?
Unamkiss mwenzio(kumla denda) lakini akikutolea mate yake na kukuwekea kwenye kiganja chake na kusema uyameze unaona kinyaa.
Anakata mti anatengeneza karatasi halafu juu ya karatasi anaandika "usikate mti"
Aiseee ngoj waje wenyeweunaoa mwanamke wa kichaga then unataka akate viuno chumbani unategemea nini
Unasomea ualimu wa masomo ya sanaa utawala huu, una akili wewe??
Nyambafu wanakata siku hizi wamepata mafunzo kutoka kwa miss chaggaunaoa mwanamke wa kichaga then unataka akate viuno chumbani unategemea nini
Kubwa jinga usitake kuchafua hali ya hewa hapa patakuwa hapatoshi ohooownaamuita yesu..wakati ni marehemu yesu