Mambo ya ajabu ayafanyayo mwanadamu

Mambo ya ajabu ayafanyayo mwanadamu

Unasubiri jumatatu post kama hizi hutaziona je itakuaje.
 
Hautaki kusuuza kikombe kwa maji ya bafuni ukiamini ni uchafu wakati maji hayo hayo unatumia kupigia mswaki.

Una nawa bila sabuni unapotaka kula halafu unakuja kunawa na sabuni baada ya kula kwani ulikuwa unakula mavi?

Unamkiss mwenzio(kumla denda) lakini akikutolea mate yake na kukuwekea kwenye kiganja chake na kusema uyameze unaona kinyaa.

Anakata mti anatengeneza karatasi halafu juu ya karatasi anaandika "usikate mti"
Kula tano!
 
1. Unanunua ndizi mbivu halafu unaosha vizuri ganda la nje kisha unalitupa unakula kipande cha ndani,uliosha ganda kwanini?

2. Unanawa mikono vizuri kwa maji ya uvuguvugu kisha unajifuta kwa tissue halafu unakula wali maharage kwa kijiko mwanzo mwisho,ulinawa ili iweje?

3. Unatongoza mwanamke miezi mitatu akikukubalia unafanya nae ngono ukiwa umevaa kondomu kwa nini? kama ulijua huyo mwanamke ni hatari kwa afya yako mpaka anahitaji kinga kwa nini ulipoteza muda wako kumtongoza?

4. Unapelekwa shule kusoma hutaki, utoro mwanzo mwisho,adabu hakuna, kujisomea hujisomei, matokeo ya NECTA yakitoka una ziro unahuzunika, unahuzunikia nini? kwani hukujua utafeli?

5. Unampa mimba binti wa watu akikuambia ana mimba yako, unamuuliza iliingiaje-hebu kuwa siriasi bwana!!!!

Ongezea ya kwako mdau.
Unachagua CCM ilhali utasoma namba, walalamika nin ulipenda mwenyewe
 
Unategemea mambo mazur kwenye nchi ambayo Magu ndio rais...... BILA SHAKA KWA HIYO KICHWA YAKO HAIKO BRAIN!!!!

Dubu enenda taratibu usijenaswa na wale vijana wabaotinga miwani na suti nyeusi kwa uchochezi.Nasikia mateso yao ni balaa.Utahisi umetumbukizwa ndani ya magma.Wanazikamata kokwa(korodani) wanazibinya kwa kutumia koleo....
 
6.Unapunguza sauti ya Tv ili usome sms kwenye simu yako, kuna uhusiano kweli?
7.Unatoka nyumbani umevaa kimini kifupi na kitopu unajiangalia kwenye kioo unaridhika,halafu unafika njiani unaanza kukivuta chini watu wasione mapaja, unataka kumaanisha nini?
8.Unapanda daladala watu wamejaa mpaka wanakushangaa kwa nini umepanda,halafu akipanda mwenzako muda mfupi baadae na wewe eti unalalamika daladala limejaa!!!! kweli nyani haoni....
 
Huwa nashangaa mno watu wanaovaa Ndomu.

Ni wazi kuwa wao sio wanaume majasiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom