Hahahaa , hapana siwezi kua hivyo, huwa najenga urafiki na mtu ili tuweze kufurahia relationship to the maximum. Yaani nina tabia ya kufanya jambo nafanya kwa ukamilifu ili nisijutie. Hahaaa umenipaisha sana mkuu japo nina mapungufu but sio hayo uloyataja.
sawa mamy ushauri mzuri tu
sijafanikiwa ila nitakuwa nao kiroho . kesho ndiyo safari ya mwisho ..Hahaaa...umenifurahisha kwa certificate...thanks
Msibani sijaenda ila nliwasiliana nae na kumpa pole zake. wew hukufanikiwa kushiriki pia?
kupewa papuchi anataka lakini kumhudumia hataki...
Ni kweli wana penda mteremko hao sijui wametoa wapi hyo tabia mwanaume atakula kwa jasho cha kushangaza wao ni walalamishi wakubwa wanakwepa majukumu ndo mana mamariooo wamezidi hadi wanatimuliwa na wake zao
Hizo effects inategemea na mnavyochukuliana na mnavyojaliana, Khantwe ukiwa mwema na muaminifu kwangu sitaweza kukuacha ukiumia au ukiteseka. TUTASAIDIANA na KUPENDANA na sio KUKUSAIDIA na KUKUPENDA hapa mambo yatakua yamebalance na kila mmoja atafurahia mahusiano.
auuu.. umemind kuchepukaaa????
Ila aangalie inawezekana akarudi akakuta nyumba imejaa. Majuto ni mjukuu
Sana tu....lakini kama kila kilicho ndani kanunua yeye unathubutu vipi kufanya hayo?
Khantwe maamuz yako magumu mamy ila mazuri piaWe mwanaume umetokea sayari gani? Au umetokea Mars? By the way WEMA is subjective.... Unaweza kufanya mambo ukadhani ni wema kumbe mwenzio ndo anapata sababu ya kukudharau na kukuchoresha hadi kwa rafiki zake. U guys are so selfish. Mimi huwa nasema sitajisumbua kamwe kujaribu kumfurahisha mwanaume....I will be gud for myself sio kujisacrifice kwaajili ya mtu.
Zawadi ni zawadi huwa hairudishi ukiona mtu mnakosana anadai zawadi jua ana asili ya umaskini wa roho ingawa kimwili ni tajiri
Hata asipokudai moyo wako lazima uwe mzito....
Hahaaa ...haya mkuu nawe ubarikiwe gentleman sababu gentleman hana hizo sifa ulizo sitaja.
charminglady, that's too low of you..!! Anyways, huo ni mtazamo wako. Nitakuwa na jukumu la kumpendezesha na kumjali mzazi wangu pindi sijaoa, siwezi kumpendezesha mtu ambaye sijui kesho yetu itakuwaje, ni ufujaji na matumizi mabaya ya pesa. Pendezeshwa na wazazi kwa vile bado upo nyumbani, jipendezeshe mwenyewe kwa vile una kipato na hujaolewa. Ukishaolewa hiyo ni story nyingine.
Sawa ila hakuna aliye sawa kila mtu ana mapungufu yake na maisha ni kuvumiliana kama unaona lipo juu ya uwezo wako ni bora kuquit
Sawa mamy....kila mtu ana mambo yake anayoweza kuyavumilia....kuna mtu anaweza kumvumilia mwanaume mlevi wakat mwingine hawezi kabisaa....mimi binafsi mtu mwongomwongo na mwenye kisirani simtaki kabisa.... Ikitokea mmetofautiana anakimbilia kujinunisha badala ya kuweka jambo mezani tulizungumze....na hata ukijaribu kutaka suluhu hataki...aaarrghh
We mwanaume umetokea sayari gani? Au umetokea Mars? By the way WEMA is subjective.... Unaweza kufanya mambo ukadhani ni wema kumbe mwenzio ndo anapata sababu ya kukudharau na kukuchoresha hadi kwa rafiki zake. U guys are so selfish. Mimi huwa nasema sitajisumbua kamwe kujaribu kumfurahisha mwanaume....I will be gud for myself sio kujisacrifice kwaajili ya mtu.
Ha ha ha kwel ww miss Chagga,,, pesa pesa pesa si utafute na ww?
huu ndo ukweli lazima ifike sehemu tutambue value yetu sio kwenda kama saa mbovu tuu mwanaume hasifiwi gegedo bhana ...nione anachacharika huku na kule,plan with action ,BUSINESS PLAN anakuwa nazo anajua dunia inaenda wapi sio PLZ NITUMIE PICHA BABY,...fool u wanna eat my pics or wat??
tuangali maisha ya mbeleni mwanaum majukuu,mipango,decision making,ujitambue bhana mwanamke ni ubavu wao wao ndo kiongozi ila wanatia aibu
best hujambo hongera kwa yale ya mtaa wa pili na wifi yako
ukimona Kaizer niitie pls