Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

..ukiona mwanamke anaongelea pesa pesa mda wote, huyo ana matatizo na she needs counseling.
..maisha ni kiwajibika, haijalishi mwanaume au mwanamke. Ndio maana siku hizi hamna mzazi anayebagua watoto likija swala la elimu na kujiendeleza.

..chukua na ubebe majukumu yako, iwe kitandani, jikoni, sebuleni, kazini...popote pale. Take your responsibilities na sio kuangalia mwenzangu anafanya nini.
kwa mtazamo wako ila kiukweli wanaume wajibikeni acheni kujificha chini ya mwavuli WA HAKI SAWA.. hii kitu never exist na haitakaa itokee.. ila kwa kuwa mnajidanganya ndiyo maana kuna wimbi kubwa sana la mario kwenye age 25-30s ni problem ... mwavuli wa haki sawa upo tu na ni mshazari hakuna reality na hautakaa ukutane
 
Unawezaje kusema unampenda mtu halafu humjali??
Kuna watu ni bahili sana hata kwa mkewe aliyemweka ndani,kula nyama mpaka sikukuu lakini kwa hawara sasa anavyozimwaga usiseme.
Papuchi ina nguvu hata mama yako unaweza kumsahau.
hao sasa siyo wabahili ni wachoyo... ukikutana na bahili my dear hata yeye mwenyewe kujihudumia ni shida acha kabisa
 
..ukiona mwanamke anaongelea pesa pesa mda wote, huyo ana matatizo na she needs counseling.
..maisha ni kiwajibika, haijalishi mwanaume au mwanamke. Ndio maana siku hizi hamna mzazi anayebagua watoto likija swala la elimu na kujiendeleza.

..chukua na ubebe majukumu yako, iwe kitandani, jikoni, sebuleni, kazini...popote pale. Take your responsibilities na sio kuangalia mwenzangu anafanya nini.
Muda huwa unafika thamani ya pesa haionekani katika penzi kama kweli kila mtu anampenda mwenzake kiukweli.
Naikumbukwe pia kuna wanawake huwa hawaombi hata pesa ya vocha lakini hapa mwanaume unajisikaje?
 
Sipendi mwanaume ambaye hajui wajibu wake mpaka aambiwe... Mf. Kutwa kucha anataka mchat lakinu vocha hatumi, Anaona unapendeza hajui hata bei ya lotion, nguo wala namba ya viatu....

Wanaume wapendezeshe wenzu wenu...
yani wantaka kupindua pindua mambo tu
 
Sipendi mwanaume ambaye hajui wajibu wake mpaka aambiwe... Mf. Kutwa kucha anataka mchat lakinu vocha hatumi, Anaona unapendeza hajui hata bei ya lotion, nguo wala namba ya viatu....

Wanaume wapendezeshe wenzu wenu...
charminglady, that's too low of you..!! Anyways, huo ni mtazamo wako. Nitakuwa na jukumu la kumpendezesha na kumjali mzazi wangu pindi sijaoa, siwezi kumpendezesha mtu ambaye sijui kesho yetu itakuwaje, ni ufujaji na matumizi mabaya ya pesa. Pendezeshwa na wazazi kwa vile bado upo nyumbani, jipendezeshe mwenyewe kwa vile una kipato na hujaolewa. Ukishaolewa hiyo ni story nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Sipendi mwanaume ambaye hajui wajibu wake mpaka aambiwe... Mf. Kutwa kucha anataka mchat lakinu vocha hatumi, Anaona unapendeza hajui hata bei ya lotion, nguo wala namba ya viatu....

Wanaume wapendezeshe wenzu wenu...

Wewe unajua wajibu wako?
 
charminglady, that's too low of you..!! Anyways, huo ni mtazamo wako. Nitakuwa na jukumu la kumpendezesha na kumjali mzazi wangu pindi sijaoa, siwezi kumpendezesha mtu ambaye sijui kesho yetu itakuwaje, ni ufujaji na matumizi mabaya ya pesa. Pendezeshwa na wazazi kwa vile bado upo nyumbani, jipendezeshe mwenyewe kwa vile una kipato na hujaolewa. Ukishaolewa hiyo ni story nyingine.

Ukiona kwenye uchuma umeshindwa kutoa jua ukiweka ndani huna mabadiliko zaidi ndiyo utazidi tia ngumu ... any way ni mtazamo wako
 
Last edited by a moderator:
kwa mtazamo wako ila kiukweli wanaume wajibikeni acheni kujificha chini ya mwavuli WA HAKI SAWA.. hii kitu never exist na haitakaa itokee.. ila kwa kuwa mnajidanganya ndiyo maana kuna wimbi kubwa sana la mario kwenye age 25-30s ni problem ... mwavuli wa haki sawa upo tu na ni mshazari hakuna reality na hautakaa ukutane

Sijaongelea mambo ya HAKI SAWA.., nilichosema ni kuwa wewe kama miss chagga unatakiwa kuwajibika ili kujenga uhusiano bora, na kama mnaishi vizuri mtapanga mambo yenu pamoja. Ukiwa na mawazo hasi kama hayo, familia haijengeki katu.
 
Last edited by a moderator:
[QU OTE=miss chagga;10019099]Ukiona kwenye uchuma umeshindwa kutoa jua ukiweka ndani huna mabadiliko zaidi ndiyo utazidi tia ngumu ... any way ni mtazamo wako[/QUOTE]

Haki ya kutaka kuhudumiwa zaidi huwa mnaitoa wapi? Nitatafuta mjapan bana argh! It's a 50/50 ball, urafiki, uchumba hata ndoa.
 
Kujinunisha ,Uchoyo ,Ubahili ni shida unaweza kukuta mwanaume hata kukupigia simu hawezi yeye ni kutuma mamessage tu wee kila mara ukimpigia akikuta call yako anakutumia sms tena bby , love call me back jamnai hata kuweka crdt ya shillingi elfu moja ni shida . Kuna wanawake wanapambana kutafuta pesa lakini kuna muda mambo huwa yanakwama muda huo basi mpenzi au mume na wewe umplay karole kako hata kidogo bado shida hii ni kero kweli Miss Chagga

Ni kweli ubahili umewajaa kila siku umpigie yeye ya kwake anawapigia wengne uchoyo na ubinafsi na kujali wengne kuliko wewe
 
Ukiona kwenye uchuma umeshindwa kutoa jua ukiweka ndani huna mabadiliko zaidi ndiyo utazidi tia ngumu ... any way ni mtazamo wako

duh, yawezekana hujaelewa. Ila UCHUMBA ni hatua kuelekea NDOA. Angalau hadi hapo najua future yetu na huyo mwenzangu, manake nishajulikana kwao, nishalipia mahari nasubiria arusi, kuna tofauti na huo uchumba wenu mnaoitana ndani ya wiki, ambao hata unifanyeje sikupi senti.
 
Back
Top Bottom