Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Wale wale tuu ambao wakipata mwanaume na daraja la matatzo yao wanamwamishiaaaa......
Ndo maaana kaur zao we nuna wenzio wara......
Jinga jinga.. .....

Ha ha jinga kama we unavyoliwa kirahisi
 
Ni kweli wana penda mteremko hao sijui wametoa wapi hyo tabia mwanaume atakula kwa jasho cha kushangaza wao ni walalamishi wakubwa wanakwepa majukumu ndo mana mamariooo wamezidi hadi wanatimuliwa na wake zao

Ni matokeo ya malezi ya single moms.big up mmoms
 
sikupotea ilikuwa namtafuta Vaislay kwenye kombe la dunia sijui alikaa upande gani...nitakuita kule mida mida..

back to topic
yaaan hzo mambo za kuvuana pichu kwa dunia hii hanipati atachoma mishaki ya panya,,,hizi sifa za extenl forces nooooo U-HB wake hautanisaidia,EMOLO or MGUU YA TOTO hatuko kwenye maonesho ndo niseme ntapata pesa,
maisha yamebadilika kila mtu asiyepnda good life na mwanaume mwenye kujituma

nasikia harufu ya uemolo....

unapenda mwanaume mwenye kujituma..
hasa sehem gani?fafanua kidogo kuna sehem nyingi za kijituma
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom