hata humu sijamuona nimemiss
Wale wale tuu ambao wakipata mwanaume na daraja la matatzo yao wanamwamishiaaaa......
Ndo maaana kaur zao we nuna wenzio wara......
Jinga jinga.. .....
Asante Twin...
Ni kweli wana penda mteremko hao sijui wametoa wapi hyo tabia mwanaume atakula kwa jasho cha kushangaza wao ni walalamishi wakubwa wanakwepa majukumu ndo mana mamariooo wamezidi hadi wanatimuliwa na wake zao
Hata mimi hunipi jamani?
"Shikamoo mfalme PESA!"
Watashikwa makalio ha ha ha we ndio umesema siyo mimi
sikupotea ilikuwa namtafuta Vaislay kwenye kombe la dunia sijui alikaa upande gani...nitakuita kule mida mida..
back to topic
yaaan hzo mambo za kuvuana pichu kwa dunia hii hanipati atachoma mishaki ya panya,,,hizi sifa za extenl forces nooooo U-HB wake hautanisaidia,EMOLO or MGUU YA TOTO hatuko kwenye maonesho ndo niseme ntapata pesa,
maisha yamebadilika kila mtu asiyepnda good life na mwanaume mwenye kujituma
hahaha ikifika hatua hiyo ndo basiii tena
sikutaka ligi nikaona nikae kimya we ndio umesema
Mapenzi moto moto na mabusu utazila tu! Usipozila ale nani sasa? If you want to receive, you gotta be willing to give.
toka huko mwone
Nimewagundua kabla ya kuoa kwanza naenda mafunzoni boko haramu
ongeza hiyo point hapo juu lol